Akhaaaa aseee! Hao watu noma. Ila siku hizi wameacha huo ujinga baada ya kuona Matatizo tu now wanabanana ila sio kivile.
Naomba mgonjwa wa corona asije ingia kwenye bus hizo hasa jioni ruti za Gerezani to Kimara mbona tunazika.
MK254 Kuna wakati management inatuharibia yaani basi 20 ziko parking tu 2 zinabeba?
Huuu ujinga.
Hata hivyo mradi ukitulia na kuendeshwa kwa ufanisi na kujitoa mbona hata wazungu wanakuja kuiga.
Maana una pesa ule. Mzee fikiria hao watu wote wamelipa Tsh 650, hapo tu wakipelekwa mara moja na wengine waje tutatengeneza ngapi kwa siku.
Uzembe tu