Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ki ist chako ushaanza kunyanyasa watuWakuu,
Ukiwa unatumia barabara unatakiwa uchukue tahadhari hata ukiwa kwenye sehemu ya kuvukia (zebra crossing).
Kuna watu wameshajiwekea nikipita kwenye zebra lazima chombo kisimame, kwahiyo yeye hajali chochote akifika kwenye zebra ni kuvuka tu. Anasahau kwamba mambo mengi yanaweza kwenda vibaya, mtu anaweza akawa na dharura anawahi mahala fulani kuna tatizo, chombo kinaweza kufeli breki, mtu anaweza akatoka resi huko stress zimempiga hajaona mtu akaondoka na wewe, bodaboda na bajaji inaweza kuchomoka huko ikakuvaa na kadhalika.
Sasa kuna wenzangu na mimi, akiwa kwenye zebra anaona huu ndio muda wake wa kutamba, muda wa kukomoa wenye magari, kuonesha machejo, kutembea kama mlimbwende, yaani kama vile malaika amesimamisha/atasimamisha vyombo vyote ili yeye apite, my friend endelea na huu mchezo ipo siku yatakukuta.
Kuwa makini wakati wote unapokuwa barabarani, lakini pia acha hizi tabia za kijivuta na kudhani kwamba muda wote madereva watakuwa 100% sawa.
Mkuu baada yakununua gari Naona unaanza kutufokea sisi Watembea Kwa miguu😁Wakuu,
Ukiwa unatumia barabara unatakiwa uchukue tahadhari hata ukiwa kwenye sehemu ya kuvukia (zebra crossing).
Kuna watu wameshajiwekea nikipita kwenye zebra lazima chombo kisimame, kwahiyo yeye hajali chochote akifika kwenye zebra ni kuvuka tu. Anasahau kwamba mambo mengi yanaweza kwenda vibaya, mtu anaweza akawa na dharura anawahi mahala fulani kuna tatizo, chombo kinaweza kufeli breki, mtu anaweza akatoka resi huko stress zimempiga hajaona mtu akaondoka na wewe, bodaboda na bajaji inaweza kuchomoka huko ikakuvaa na kadhalika.
Sasa kuna wenzangu na mimi, akiwa kwenye zebra anaona huu ndio muda wake wa kutamba, muda wa kukomoa wenye magari, kuonesha machejo, kutembea kama mlimbwende, yaani kama vile malaika amesimamisha/atasimamisha vyombo vyote ili yeye apite, my friend endelea na huu mchezo ipo siku yatakukuta.
Kuwa makini wakati wote unapokuwa barabarani, lakini pia acha hizi tabia za kijivuta na kudhani kwamba muda wote madereva watakuwa 100% sawa.
Rudia kusoma vizuri uelewe, sijasema watu wavunje sheria, bali kuongeza umakini na kuacha kujivuta sababu mengi yanaweza kutokea.... unafata sheria lakini dereva mzembe anakuja resi huko utakaza fuvu kwakuwa upo kwenye zebra ama utaongeza umakini usikumbwe na kadhia? Lakini watembea kwa miguu wapo wengi ambao hawafati sheria kwakuw atu anajua yupo kwenye zebraTii sheria bila shuruti.. mzee anawezaje kukimbia kwenye Zebra??
Hiyo bodaboda isikufanye uvunjee sheria utakwenda segerea ohooohooo
Anavunjaje sheria kwenye Zebra..???Rudia kusoma vizuri uelewe, sijasema watu wavunje sheria, bali kuongeza umakini na kuacha kujivuta sababu mengi yanaweza kutokea.... unafata sheria lakini dereva mzembe anakuja resi huko utakaza fuvu kwakuwa upo kwenye zebra ama utaongeza umakini usikumbwe na kadhia? Lakini watembea kwa miguu wapo wengi ambao hawafati sheria kwakuw atu anajua yupo kwenye zebra
Mtembea kwa miguu taa ya zebra ikiruhusu unajimwambafai kwenye zebra unaweza hata ukalala pale na usifanywe kitu na mjinga yoyote Ila bongo ndio madereva hawajui sheria za zebra watu wanavuka wanakimbia gari linakuja speed ya ajabu kwenye zebraUkiwa unatumia barabara unatakiwa uchukue tahadhari hata ukiwa kwenye sehemu ya kuvukia (zebra crossing).
Hilo ni kweli, madereva bongo wengi ni pasua kichwa, japokuwa kuna watembea kwa miguu wengine hukatisha hata taa ikiwa nyekundu mradi anapita kwenye zebra hajali kitu, kwahiyo ni muhimu kuwa makini.Mtembea kwa miguu taa ya zebra ikiruhusu unajimwambafai kwenye zebra unaweza hata ukalala pale na usifanywe kitu na mjinga yoyote Ila bongo ndio madereva hawajui sheria za zebra watu wanavuka wanakimbia gari linakuja speed ya ajabu kwenye zebra