Watendaji wa Halmashauri za Miji ndiyo huisaidia CCM kuchakachua chaguzi

Watendaji wa Halmashauri za Miji ndiyo huisaidia CCM kuchakachua chaguzi

Allen Kilewella

JF-Expert Member
Joined
Sep 30, 2011
Posts
21,470
Reaction score
40,593
Kwa mtazamo wangu wavurugaji na wachakachuzi wakubwa wa chaguzi zetu hapa Tanzania, ni watendaji wa Vijiji, mitaa na Kata.

Watendaji ndiyo mikono inayoyumiwa na CCM kuharibu chaguzi.

Wakurugenzi wa Halmashauri za Miji wenyewe ni wapangaji na wanufaika wa uchakachuzi huo wa chaguzi zetu kwa kuwa wao wenyewe, wengi wao ni wana CCM.
 
Kwa mtazamo wangu wavurugaji na wachakachuzi wakubwa wa chaguzi zetu hapa Tanzania, ni watendaji wa Vijiji, mitaa na Kata.

Watendaji ndiyo mikono inayoyumiwa na CCM kuharibu chaguzi.

Wakurugenzi wa Halmashauri za Miji wenyewe ni wapangaji na wanufaika wa uchakachuzi huo wa chaguzi zetu kwa kuwa wao wenyewe, wengi wao ni wana CCM.
Wakurugenzi huajiriwa kwa vigezo gani?
 
Migambo wamelipwa 80000,walimu 60000,polisi 100000 ,mtendaji kata 200000 yaani uchafuzi wooooooote
 
Back
Top Bottom