Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata post za Facebook zinaletwa humu.
Kwa Sasa hivi Maisha hayataki usiriasi Sana boss.
Ajabu Sana Sasa hivi paka na panya ni marafiki
Umeona mambo hayo?
Zawa mzuuSijaleta usiriazi
Nilisikitika pia kuona chawa, mende, kunguni na viroboto wamejaa humu Jf hadi kufikia kupoteza ile tatste ya Great thinker iliyokuwa imetamalaki humu jukwaani zaidi ya muongo mmoja uliopita.Hilo nimelibaini katika pitapita zangu huko twitter.
Na kingine na maana ubunifu wa kutengeneza maudhui umeisha hadi content nyingi ziwe zina relate tu na mambo ya uasherati na uzinzi🤔
View attachment 3269727