Mzee wa kupambania
JF-Expert Member
- Aug 14, 2022
- 21,111
- 53,092
Sisi tunajua mchakato mzima wa vizinga unavyoanza. Kinga boraAkipigwa kizinga kama hataki si anakataa tu jamani. Ukute huyo mdada hata hakua na hilo lengo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sisi tunajua mchakato mzima wa vizinga unavyoanza. Kinga boraAkipigwa kizinga kama hataki si anakataa tu jamani. Ukute huyo mdada hata hakua na hilo lengo.
Mimi hata misd kolu nikikuta sipigi.Sisi tunajua mchakato mzima wa vizinga unavyoanza. Kinga bora
Kwa hiyo tusiwe tunawaambia kuwa tunawapenda?Sisi tunajua mchakato mzima wa vizinga unavyoanza. Kinga bora
Tahadhari muhimuMimi hata misd kolu nikikuta sipigi.
[emoji23][emoji23][emoji23] Sasa hayo ni mahusiano ya aina gani au unasemea wale wa kupotezea muda?Mimi hata misd kolu nikikuta sipigi.
😂😂usikate tamaa nyingi waachie na wenzio
Tatizo mnaunganisha na kizingaKwa hiyo tusiwe tunawaambia kuwa tunawapenda?
Sasa kama hutaki kutoa si unakataa yaani ndio ushindwe kumjibu babe kuwa unampenda pia kisa kuogopa kuombwa hela jamani [emoji23]Tatizo mnaunganisha na kizinga
Mtego huo ukishajibu nakupenda pia utatepeta kukataa kizingaSasa kama hutaki kutoa si unakataa yaani ndio ushindwe kumjibu babe kuwa unampenda pia kisa kuogopa kuombwa hela jamani [emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23] ubahiri tu.Mtego huo ukishajibu nakupenda pia utatepeta kukataa kizinga
🤣🤣🤣🤣
Hawezi elewaSisi tunajua mchakato mzima wa vizinga unavyoanza. Kinga bora
Meme Ndiyo niniahahaha inafurahisha ila meme zinatuobdolea makasiriko
Bambo mtu wa maana kabisa
Lazima muachane 😀😀