water resources & irigation engineering vs agricultural engineering

hamidshaban

JF-Expert Member
Joined
Jan 4, 2011
Posts
262
Reaction score
32
wakuu. Msaada kati ya hizo kozi mbili ipi unadhani ina soko kuizidi nyingine? Nashukuru kwa msaada wenu
 
water resources & irrigation engineering
 
Zote hapo zina soko!! Na kama sikosei sana zote zinatolewa na SUA!!
Zaid ya yote ningekushaur usome agriculture engineering maana mambo meng sana ya irrigation yanasomwa humo..ila machache ya agricultural engineering yanasomwa na mtu wa irrigation!! Kwa msaada zaid pitia web ya sua na upitie prospectus ya mwaka jana!!
 

Hapo umemshauri vizuri Mkuu, AGRIC. ENGINEERING ndo mpango mzima. Ile nyingine inatolewa pia pale Arusha Tech. Eng. Mtolera hapa anahitajika aje atoe maelezo ya kina
 
Water resource in nafasi ya kazi zaidi ingawa si zuri zaidi ya agr. eng. water resource unaweza soma hapo chuo cha maji ubungo. masters sua, udsm na mandela arusha
 
water resources engineering in mambo mengi zaidi kuliko hizo nyingine. inatolewa UDSM. ni ngumu kiana, na kuna mambo ya hydrology, water transport eng, water supply design, structure kidogo, foundation eng. engineering maths,waste water, fluid mechanics, etc. Hydrology inaingia au kuhusiana na kilimo mfano , unyevu udongoni, lini kupanda, lini mafuriko, nk.
 
Wakuu nashukuru sn kwa michango yenye akili
 

Sio kwel haitolewi ud pekee...kuna sua,na kingine kipo hapo dar...bila kusahau vyuo vyote vinavyotoa civil wana option ya mtu kuspecialize kwenye water resources hasa mwaka wa tatu!!
 
Ukisoma kozi ya Agriculture, jiandae kudhalilika....

Ulishaona wangapi misulupwete wewe? Babako alidhalilika shauri ya kuendekeza pombe na wanawake!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…