Watesi wa Chongolo wameshinda: Mengi yaja

Watesi wa Chongolo wameshinda: Mengi yaja

Hebu acha upuuzi na ww nani anasema kunywa pombe ni shida .chongolo hanywi hilo tunalijua fika ila kataa haya

1. Kufoji alipwe 196m na akalipwa je anafaa kuwa kiongozi mkuu wa chama kukemea rushwa na ufisadi bado?
2. Tuhuma za kulala na wakurugenzi na kuwaomba hela kuwatishia kuwatumbua.
3. Kutongoza ovyo wanawske kwa kutumia cheo chake. Hilo ni kero toka yuko longido.wanawake wanamjua anatuma chat anafuta huyo wa boro alimuweza.

Na huo uchunguzi kuna moja nzito itatajwa utabaki mdomo wazi
Kwamba analawiti wanawake kwa Sasa sijaona kubwaa
 
31 Aug 2020 — Uchaguzi 2020 Makonda azuiwa kukaa Jukwaa Kuu kwenye mkutano wa Uzinduzi wa Kampeni za CCM

View: https://m.youtube.com/watch?v=KQcxTeoUIrs

JINSI IKULU INAVYOFANYA KAZI

Mzee Lee Njiru mwandishi wa habari wa marais wa Kenya kwa miaka 42 katika ikulu ya Nairobi Kenya alikuwa na haya ya kueleza, ambayo mwaandishi uchwara Deus Balile na mwandishi mheshimiwa sana Daniel Chongolo kuhusu ukiwa karibu na watawala hutakiwi kufanya kabisa :

View: https://m.youtube.com/watch?v=8ICU1vEaYRQ

Mzee Lee Njiru alikuwa mwandishi wa mkoani akiwa kijana na ghafla akajikuta ameteuliwa kuwa mwandishi wa Ikulu.

Sasa hawa kina Deus Balile ambao wakiwa kila mara wanaalikwa ktk mikutano na watawala wanajiona nao tayari wamekuwa na 'mamlaka', wakati hayo mamlaka hawana bali wanatumiwa.

Kilichomtokea mwandishi wa habari Daniel Chongolo inapaswa waandishi wa habari wote wajifunze ukiwa karibu na rais, lazima muda wote unachunguzwa mienendo ya maisha yako, na hili la Chongolo siyo ajali bali ni jambo linalotegemewa kutokea ukikosa uangalifu na kudanganywa na press club ya waandishi wenzake akina Deus Balile n.k waliodhani sasa wame ukaribia urais.

Mzee Lee Njiru anazungumzia zaidi kuwa watu wa usalama wa rais humwangaliwa mkuu wa nchi kwa saa zote 24 ya siku kumchunga, kumshauri, kumkataza kuwa karibu ya mtu fulani ikiwemo kuwachunguza wale wote walio karibu na rais bila kubagua iwe ni mume au mke wa rais, mwandishi, katibu mkuu wa aina yoyote, mwenyekiti wa baraza la waandishi wa habari, ndugu, jamaa na marafiki.

Na kuwa watu wa usalama wana mlinda rais kwa wivu mkubwa na ndiyo jukumu lao.... Hivyo hili la Daniel Chongolo, Deus Balile, Sukuma gang n.k ukimsikiliza Mzee Lee Njiru akielezea Siri za Ikulu na Maisha yake ya miaka 42 akiwa karibu na marais ..... ni somo kubwa


View: https://m.youtube.com/watch?v=g-Vz49ZizUE
 
Hili la Samia kumaliza muda wake 2030 naona ni propaganda ya sasa!!

Demokrasia ifuate mkondo wake, hajawahi kuchaguliwa na wajumbe wa CCM- Ameokota dodo chini ya mbuyu,aache wanaoweza kuangua madodo wakalisha familia nzima waangue!
Wanapenyeza huo usanii kitaalamu sana.Kuna wajinga wanataka kujiendeshea hii nchi kwajinsi wanavyoona wananufaikaje.
 
Unaweza ukawa na ushahidi wowote katika haya? Hivi kwa unri kama wake amebakiza nini hadi atumie mwanamke picha ya Boro? Acha hizo we February Makamba.
Mkuu amebakiza jamaa huwa mshamba wa wanawake wanawake wenye chati za kijinga zake .mara leo baridi siwezi lala peke yangu.mara ntakuhamisha ni nyingi .kaka sasa na mm namaslahi gan na ccm au chongolo.najisemea ukweli ninaoujua 100% kwa wahusika si chini ya 7
 
Shukrani sana. Andiko linahoji maswali muhimu,linatoa hints na linatoa muelekeo.
 
Hebu acha upuuzi na ww nani anasema kunywa pombe ni shida .chongolo hanywi hilo tunalijua fika ila kataa haya

1. Kufoji alipwe 196m na akalipwa je anafaa kuwa kiongozi mkuu wa chama kukemea rushwa na ufisadi bado?
2. Tuhuma za kulala na wakurugenzi na kuwaomba hela kuwatishia kuwatumbua.
3. Kutongoza ovyo wanawske kwa kutumia cheo chake. Hilo ni kero toka yuko longido.wanawake wanamjua anatuma chat anafuta huyo wa boro alimuweza.

Na huo uchunguzi kuna moja nzito itatajwa utabaki mdomo wazi
Acha kufoka bwana kwanza na wewe tueleze iyo no 1, nani ndani ya ccm anauwezo wa kukemea ufisadi kwanza , je ni kweli ndani ya ccm hakuna watu wamepiga madili mara kumi ya hiyo chongolo

No 2 na kuendelea siwezi tia neno maana sina ushahidi
 
M
Wewe Ni mpuuzi kiwango cha SGR, Mimi sio CCM lakini tunaomjua Chongolo kama Chongolo yote yaliyotajwa Ni uongo 💯 % wenye kusudi Baya wakilenga ukatibu mkuu wake kikubwa tushukuru wamemwachia uhai wake bila kusahau kuna wakati Mstaafu JMK alisema ndani ya CCM watu hawaaminiani na kweli hiyo ndio mwendelezo huu tunaoona sasa hivi

TATIZO NI KUNDI LA VIONGOZI WACHAFU NDANI YA CHAMA CHENU NA SERIKALI
Mkuu! Unatakiwa ujibu hoja kwahoja, hapo umezipiga rungu hoja zake, huko mtandaoni Kuna "documents" mbalimbali zinazomhusisha Chongolo ikiwemo kadi ya Gari lake alilopata nalo ajali ambayo imetumika kughushi taarifa, hivyo ilitakiwa upinge hizo taarifa kwa hoja, utuambie hizo "documents" muhimu Watu walizipata wapi? Na kwa nini tusizihusishe na tuhuma hizo?

Binafsi naona kama lengo ni kumchafua basi wamemchafua kwa taarifa za kweli na ndiyo maana ameridhia kujiuzulu yeye mwenyewe bila kushinikizwa.

Kuna wakati Mimi binafsi huwa naamini huenda Chongolo alikuwa na nia ya kujiuzulu hivyo akatafuta sababu ili ionekane Watu wamemchafua ilihali yeye mwenyewe ndiye aliyefanya huo mchongo, inawezekana vipi Watu wawe na "documents" zake muhimu, hebu fikiria hata hiyo Barua ya kujiuzulu ilivyovuja mapema, nani aliyeivujisha?

Mara kadhaa viongozi wetu huchafuliwa mitandaoni mbona hawajiuzulu? Mfano kuna kipindi fulani ilisambazwa sauti mitandaoni ikimuhusisha Waziri Mkuu wa sasa akiongea kimahaba na anayedaiwa kuwa ni aliyekuwa Mke wa Kafulila, mbona Waziri Mkuu hakujiuzulu kwa kashifa ile?
 
Hebu acha upuuzi na ww nani anasema kunywa pombe ni shida .chongolo hanywi hilo tunalijua fika ila kataa haya

1. Kufoji alipwe 196m na akalipwa je anafaa kuwa kiongozi mkuu wa chama kukemea rushwa na ufisadi bado?
2. Tuhuma za kulala na wakurugenzi na kuwaomba hela kuwatishia kuwatumbua.
3. Kutongoza ovyo wanawske kwa kutumia cheo chake. Hilo ni kero toka yuko longido.wanawake wanamjua anatuma chat anafuta huyo wa boro alimuweza.

Na huo uchunguzi kuna moja nzito itatajwa utabaki mdomo wazi
Acha kufoka bwana kwanza na wewe tueleze iyo no 1, nani ndani ya ccm anauwezo wa kukemea ufisadi kwanza , je ni kweli ndani ya ccm hakuna watu wamepiga madili mara kumi ya hayo.

No 2 na kuendelea siwezi tia neno maana sina ushahi
 
Bado nauliza swali, who resigned? Mungu anaingiaje kwenye huu upumbavu na ujinga wa ccm? Kwa nini usiseme Mungu ataingilia kati ubadhirifu na wizi wa ccm+

Agenda yenu ipo kwenye vyeo na sio wizi wa ccm, umewahi leta agenda ya ubadhirifu wa hela za uma na watu kutochukuliwa hatua kwa uchungu wa kiwango hiki?

WE CHONGOLO, Kaa kwa kutulia, lile eneo lako jirani na kwangu pale Mbweni alijatosha tu?

Eneo la mamilioni ya fedha????? Sijui hata nikipima na kwangu nashindwa kupata thamani halisi, ni mamilioni, umepata kwa mapato halali?
Wewe na chongolo kesho mapema niwakute ofisin kwangu, Mueleze kwanza mmepataje ayo maeneo
 
Acha kufoka bwana kwanza na wewe tueleze iyo no 1, nani ndani ya ccm anauwezo wa kukemea ufisadi kwanza , je ni kweli ndani ya ccm hakuna watu wamepiga madili mara kumi ya hayo.

No 2 na kuendelea siwezi tia neno maana sina ushahi
Ni kweli mkuu ccm inawatu wengi wachafu kuliko makongolo tofauti yao wenzio sio makatibu wakuu .ndo maana tumemtoa afanane na wachafu wenzie .ccm wapo watu waadilifu sana tena wengi ila mifumo imeshikwa na wachafu bado .tunajikongoja iko siku tutakaa sawa watu kama mangula .mpina wengi sana
 
Mwanaume mzima unajisifia KUMJUA kiundani mwanaume mwenzio mitandaoni,,na umekaza shingo tuu bila Aibu kwa kurudiarudia maneno ya jinsi unavyomjua kiundani,,angalia kaka!Usije saidia majukumu mengine ambayo hustahili kumsaidia mke wa chongolo,,###MoyoWaMtuKichaka###una siri mingi mnoo,,Binadamu ni kiumbe mgumu mnoo kumchunguza na usijaribu utaishia kumkadiria mwisho wa siku anakushangaza tofauti na makadirio yako
 
Haya wewe Muhaya, unaandika ukiwa Bukoba au Mombasa? Au Nairobi?

Wake zenu wamepewa Ukurugenzi wanatafunwa nyie mnakenua tu meno yenu machafu!!
Umeambiwa uchuznguzi unafanyika. Tulia
Daah huyo sio muhaya itakuwa ni mkikuyu ametoka msibani amerudi kwao Nairobi aaah aaah the teh teh
 
Kwamba Chongolo amepata utajiri kwa kuuza nyanya mpaka akajenga majumba?

Kwamba hizo nyanya alikuwa ananunua kwa shilingi elfu tatu (3,000) kutoka Makambako na kuuza Big Brother Dar kwa shilingi elfu sabini (70,000)?

Eti Chongolo ni tajiri wa magenge ya nyanya 😂

Sisi sio wajinga bwana. Usituletee upuuzi wako hapa. Alafu ulivyoanzia mbali mara kwenda Kenya mara kwenda msibani Bukoba ukakaa siku nne nikajua kuna point kumbe chenga.
Kiongozi siyo kwamba kwa kuanza hivyo alivyoanza kuandika ndiyo ulitakiwa kujiandaa kusoma utumbo?
 
Ni kweli mkuu ccm inawatu wengi wachafu kuliko makongolo tofauti yao wenzio sio makatibu wakuu .ndo maana tumemtoa afanane na wachafu wenzie .ccm wapo watu waadilifu sana tena wengi ila mifumo imeshikwa na wachafu bado .tunajikongoja iko siku tutakaa sawa watu kama mangula .mpina wengi sana
Mimi mkuu nakubaliana na wewe ,sio wanaccm wote wabaya, ila wabaya ni wengi kuliko wazuri,

Na kwa chama chenu mlipokifikisha je unadhani mnaweza kichomoa chama katika uchafu huu, kipindi ambacho chama kimeshindwa tengeneza vijana imara na jeuri wa kumkosoa yoyote alie ili hali amekosea matokeo yake Ni machawa ndo yanatengezwa

Chama ambacho wale wahovu ndo wanateuliwa shika atam mfano uyo Mwenyekiti wa ccm Arusha , na wengine wengi


Siwezi kukubali au kataa kwamba Chongolo hajafanya kile anatuhumiwa nacho lakini je wenye tabia kama hizi ndani ya chama ni wangapi, na wafikili atakae kuja atakua msafi kuliko mtangulizi wake,

Vijana wa CCM achana na wazee ndo mmekifikisha hiki chama kilipo , ila mkisimama kwa pamoja hasa wenye mlengo mmoja mnaweza ila kwa dam na jasho ,
 
Sasa hanywi pombe...havut bangi...havuti sigara...kwenye wanawake anasingiziwaje?!
 
Hebu acha upuuzi na ww nani anasema kunywa pombe ni shida .chongolo hanywi hilo tunalijua fika ila kataa haya

1. Kufoji alipwe 196m na akalipwa je anafaa kuwa kiongozi mkuu wa chama kukemea rushwa na ufisadi bado?
2. Tuhuma za kulala na wakurugenzi na kuwaomba hela kuwatishia kuwatumbua.
3. Kutongoza ovyo wanawske kwa kutumia cheo chake. Hilo ni kero toka yuko longido.wanawake wanamjua anatuma chat anafuta huyo wa boro alimuweza.

Na huo uchunguzi kuna moja nzito itatajwa utabaki mdomo wazi
Bora umemjibu mkuu barile ni mchumia tumbo tunamjuwa ni mtu akiambia andika hivi anafanya taaluma yake ya uandishi ni njaa kwanza mengine baadae.
Ajuwe kuwa chongolo kashifa hizo hazijaanza akiwa katibu mkuu wa chama historia ina majukumu na ndio utamaduni wake wa kutongoza wake za watu na kutumia cheo chake vibaya katika majukumu yake ya kazi.
 
Mimi mkuu nakubaliana na wewe ,sio wanaccm wote wabaya, ila wabaya ni wengi kuliko wazuri,

Na kwa chama chenu mlipokifikisha je unadhani mnaweza kichomoa chama katika uchafu huu, kipindi ambacho chama kimeshindwa tengeneza vijana imara na jeuri wa kumkosoa yoyote alie ili hali amekosea matokeo yake Ni machawa ndo yanatengezwa

Chama ambacho wale wahovu ndo wanateuliwa shika atam mfano uyo Mwenyekiti wa ccm Arusha , na wengine wengi


Siwezi kukubali au kataa kwamba Chongolo hajafanya kile anatuhumiwa nacho lakini je wenye tabia kama hizi ndani ya chama ni wangapi, na wafikili atakae kuja atakua msafi kuliko mtangulizi wake,

Vijana wa CCM achana na wazee ndo mmekifikisha hiki chama kilipo , ila mkisimama kwa pamoja hasa wenye mlengo mmoja mnaweza ila kwa dam na jasho ,
Ukifumaniwa ni swala la ww na ndoa yako .excuse ya umalaya wa ndoa zingine ambazo hazijafumaniwa haukusaidii bali unarudisha nyuma juhudi za kukuamini hapo mbeleni.chongolo hajafukuzwa chama amepisha cheo na kasema mwenyewe kulinda hadhi ya chama .hajafukuzwa amejipima ameona hatoshi.mwinyi alipojiuzuru yeye alihusika kuua wafungwa selo mbeya ? ila chama na serikali ibaki safi alijitoa kafara.
Chongolo sio mtoto hajasema kasingiziwa kasema anajitenga chongolo mwenye tuhuma na chama kibaki safi.

Swala la kuwa wana ccm wengi wachafu usilichukulie hivo kilaini.ni kwamba watanzania 80% ni wachafu .ratio hiyo iko kila mahali hata chadema wachafu wamejaa si tunaishi nao mtaani mkuu.huwezi unda chama cha wasafi tanzania ni dhana ya kufikirika .
CCM inapitia kipindi kigumu cha awamu ya nne kugoma kutoka kikweli madarakani na genge lake .magu alipojua hilo akaunda la kwake .kwa hiyo ccm kuna makundi haya
1.CCM ASILIA -Tukiongozwa na taswira ya mangula ,warioba,butiku.wasira
2.CCM BASHITE -Wakihusisha sympasyzers wa magu .gwajima.majaliwa .msukuma .biteko.etc
3.CCM MSOGA- yakiongozwa na walinda maslahi ya fortune kubwa ya mali na chanell za biashara walizopata matajiri waliotomana na awamu ya nne.the msoga family.january.nape.mchengerwa etc
Nimepanga kuanzia lisilonanguvu kwenda lenye nguvu.mm niko CCM ASILIA.
 
Back
Top Bottom