dr namugari
JF-Expert Member
- Nov 19, 2022
- 10,466
- 18,206
Kwamba analawiti wanawake kwa Sasa sijaona kubwaaHebu acha upuuzi na ww nani anasema kunywa pombe ni shida .chongolo hanywi hilo tunalijua fika ila kataa haya
1. Kufoji alipwe 196m na akalipwa je anafaa kuwa kiongozi mkuu wa chama kukemea rushwa na ufisadi bado?
2. Tuhuma za kulala na wakurugenzi na kuwaomba hela kuwatishia kuwatumbua.
3. Kutongoza ovyo wanawske kwa kutumia cheo chake. Hilo ni kero toka yuko longido.wanawake wanamjua anatuma chat anafuta huyo wa boro alimuweza.
Na huo uchunguzi kuna moja nzito itatajwa utabaki mdomo wazi
Ningekuwa mjinga kujali hilo wanaolawiti wanawake saivi dar ni 80% .kuna moja zito la kifungo maisha .Kwamba analawiti wanawake kwa Sasa sijaona kubwaa
Wanapenyeza huo usanii kitaalamu sana.Kuna wajinga wanataka kujiendeshea hii nchi kwajinsi wanavyoona wananufaikaje.Hili la Samia kumaliza muda wake 2030 naona ni propaganda ya sasa!!
Demokrasia ifuate mkondo wake, hajawahi kuchaguliwa na wajumbe wa CCM- Ameokota dodo chini ya mbuyu,aache wanaoweza kuangua madodo wakalisha familia nzima waangue!
Mkuu amebakiza jamaa huwa mshamba wa wanawake wanawake wenye chati za kijinga zake .mara leo baridi siwezi lala peke yangu.mara ntakuhamisha ni nyingi .kaka sasa na mm namaslahi gan na ccm au chongolo.najisemea ukweli ninaoujua 100% kwa wahusika si chini ya 7Unaweza ukawa na ushahidi wowote katika haya? Hivi kwa unri kama wake amebakiza nini hadi atumie mwanamke picha ya Boro? Acha hizo we February Makamba.
Acha kufoka bwana kwanza na wewe tueleze iyo no 1, nani ndani ya ccm anauwezo wa kukemea ufisadi kwanza , je ni kweli ndani ya ccm hakuna watu wamepiga madili mara kumi ya hiyo chongoloHebu acha upuuzi na ww nani anasema kunywa pombe ni shida .chongolo hanywi hilo tunalijua fika ila kataa haya
1. Kufoji alipwe 196m na akalipwa je anafaa kuwa kiongozi mkuu wa chama kukemea rushwa na ufisadi bado?
2. Tuhuma za kulala na wakurugenzi na kuwaomba hela kuwatishia kuwatumbua.
3. Kutongoza ovyo wanawske kwa kutumia cheo chake. Hilo ni kero toka yuko longido.wanawake wanamjua anatuma chat anafuta huyo wa boro alimuweza.
Na huo uchunguzi kuna moja nzito itatajwa utabaki mdomo wazi
Mkuu! Unatakiwa ujibu hoja kwahoja, hapo umezipiga rungu hoja zake, huko mtandaoni Kuna "documents" mbalimbali zinazomhusisha Chongolo ikiwemo kadi ya Gari lake alilopata nalo ajali ambayo imetumika kughushi taarifa, hivyo ilitakiwa upinge hizo taarifa kwa hoja, utuambie hizo "documents" muhimu Watu walizipata wapi? Na kwa nini tusizihusishe na tuhuma hizo?Wewe Ni mpuuzi kiwango cha SGR, Mimi sio CCM lakini tunaomjua Chongolo kama Chongolo yote yaliyotajwa Ni uongo 💯 % wenye kusudi Baya wakilenga ukatibu mkuu wake kikubwa tushukuru wamemwachia uhai wake bila kusahau kuna wakati Mstaafu JMK alisema ndani ya CCM watu hawaaminiani na kweli hiyo ndio mwendelezo huu tunaoona sasa hivi
TATIZO NI KUNDI LA VIONGOZI WACHAFU NDANI YA CHAMA CHENU NA SERIKALI
Acha kufoka bwana kwanza na wewe tueleze iyo no 1, nani ndani ya ccm anauwezo wa kukemea ufisadi kwanza , je ni kweli ndani ya ccm hakuna watu wamepiga madili mara kumi ya hayo.Hebu acha upuuzi na ww nani anasema kunywa pombe ni shida .chongolo hanywi hilo tunalijua fika ila kataa haya
1. Kufoji alipwe 196m na akalipwa je anafaa kuwa kiongozi mkuu wa chama kukemea rushwa na ufisadi bado?
2. Tuhuma za kulala na wakurugenzi na kuwaomba hela kuwatishia kuwatumbua.
3. Kutongoza ovyo wanawske kwa kutumia cheo chake. Hilo ni kero toka yuko longido.wanawake wanamjua anatuma chat anafuta huyo wa boro alimuweza.
Na huo uchunguzi kuna moja nzito itatajwa utabaki mdomo wazi
Wewe na chongolo kesho mapema niwakute ofisin kwangu, Mueleze kwanza mmepataje ayo maeneoBado nauliza swali, who resigned? Mungu anaingiaje kwenye huu upumbavu na ujinga wa ccm? Kwa nini usiseme Mungu ataingilia kati ubadhirifu na wizi wa ccm+
Agenda yenu ipo kwenye vyeo na sio wizi wa ccm, umewahi leta agenda ya ubadhirifu wa hela za uma na watu kutochukuliwa hatua kwa uchungu wa kiwango hiki?
WE CHONGOLO, Kaa kwa kutulia, lile eneo lako jirani na kwangu pale Mbweni alijatosha tu?
Eneo la mamilioni ya fedha????? Sijui hata nikipima na kwangu nashindwa kupata thamani halisi, ni mamilioni, umepata kwa mapato halali?
Ni kweli mkuu ccm inawatu wengi wachafu kuliko makongolo tofauti yao wenzio sio makatibu wakuu .ndo maana tumemtoa afanane na wachafu wenzie .ccm wapo watu waadilifu sana tena wengi ila mifumo imeshikwa na wachafu bado .tunajikongoja iko siku tutakaa sawa watu kama mangula .mpina wengi sanaAcha kufoka bwana kwanza na wewe tueleze iyo no 1, nani ndani ya ccm anauwezo wa kukemea ufisadi kwanza , je ni kweli ndani ya ccm hakuna watu wamepiga madili mara kumi ya hayo.
No 2 na kuendelea siwezi tia neno maana sina ushahi
Daah huyo sio muhaya itakuwa ni mkikuyu ametoka msibani amerudi kwao Nairobi aaah aaah the teh tehHaya wewe Muhaya, unaandika ukiwa Bukoba au Mombasa? Au Nairobi?
Wake zenu wamepewa Ukurugenzi wanatafunwa nyie mnakenua tu meno yenu machafu!!
Umeambiwa uchuznguzi unafanyika. Tulia
Kiongozi siyo kwamba kwa kuanza hivyo alivyoanza kuandika ndiyo ulitakiwa kujiandaa kusoma utumbo?Kwamba Chongolo amepata utajiri kwa kuuza nyanya mpaka akajenga majumba?
Kwamba hizo nyanya alikuwa ananunua kwa shilingi elfu tatu (3,000) kutoka Makambako na kuuza Big Brother Dar kwa shilingi elfu sabini (70,000)?
Eti Chongolo ni tajiri wa magenge ya nyanya 😂
Sisi sio wajinga bwana. Usituletee upuuzi wako hapa. Alafu ulivyoanzia mbali mara kwenda Kenya mara kwenda msibani Bukoba ukakaa siku nne nikajua kuna point kumbe chenga.
Mimi mkuu nakubaliana na wewe ,sio wanaccm wote wabaya, ila wabaya ni wengi kuliko wazuri,Ni kweli mkuu ccm inawatu wengi wachafu kuliko makongolo tofauti yao wenzio sio makatibu wakuu .ndo maana tumemtoa afanane na wachafu wenzie .ccm wapo watu waadilifu sana tena wengi ila mifumo imeshikwa na wachafu bado .tunajikongoja iko siku tutakaa sawa watu kama mangula .mpina wengi sana
Bora umemjibu mkuu barile ni mchumia tumbo tunamjuwa ni mtu akiambia andika hivi anafanya taaluma yake ya uandishi ni njaa kwanza mengine baadae.Hebu acha upuuzi na ww nani anasema kunywa pombe ni shida .chongolo hanywi hilo tunalijua fika ila kataa haya
1. Kufoji alipwe 196m na akalipwa je anafaa kuwa kiongozi mkuu wa chama kukemea rushwa na ufisadi bado?
2. Tuhuma za kulala na wakurugenzi na kuwaomba hela kuwatishia kuwatumbua.
3. Kutongoza ovyo wanawske kwa kutumia cheo chake. Hilo ni kero toka yuko longido.wanawake wanamjua anatuma chat anafuta huyo wa boro alimuweza.
Na huo uchunguzi kuna moja nzito itatajwa utabaki mdomo wazi
Ukifumaniwa ni swala la ww na ndoa yako .excuse ya umalaya wa ndoa zingine ambazo hazijafumaniwa haukusaidii bali unarudisha nyuma juhudi za kukuamini hapo mbeleni.chongolo hajafukuzwa chama amepisha cheo na kasema mwenyewe kulinda hadhi ya chama .hajafukuzwa amejipima ameona hatoshi.mwinyi alipojiuzuru yeye alihusika kuua wafungwa selo mbeya ? ila chama na serikali ibaki safi alijitoa kafara.Mimi mkuu nakubaliana na wewe ,sio wanaccm wote wabaya, ila wabaya ni wengi kuliko wazuri,
Na kwa chama chenu mlipokifikisha je unadhani mnaweza kichomoa chama katika uchafu huu, kipindi ambacho chama kimeshindwa tengeneza vijana imara na jeuri wa kumkosoa yoyote alie ili hali amekosea matokeo yake Ni machawa ndo yanatengezwa
Chama ambacho wale wahovu ndo wanateuliwa shika atam mfano uyo Mwenyekiti wa ccm Arusha , na wengine wengi
Siwezi kukubali au kataa kwamba Chongolo hajafanya kile anatuhumiwa nacho lakini je wenye tabia kama hizi ndani ya chama ni wangapi, na wafikili atakae kuja atakua msafi kuliko mtangulizi wake,
Vijana wa CCM achana na wazee ndo mmekifikisha hiki chama kilipo , ila mkisimama kwa pamoja hasa wenye mlengo mmoja mnaweza ila kwa dam na jasho ,