Watesi wa Chongolo wameshinda: Mengi yaja


Nimesoma, nilipo fika kwa Naibu Waziri, Festo, na najua kilichotokea sio hicho umeandika, yaani umegeuza uongo kuwa ukweli, nimeacha kabisa kusoma story nzima hii, hii chai tupu, this is rubbish, takataka kabisa story hii
 
BALILE.
 
Mbona Balile unalialia sana! Au umetumwa na Chongolo?

Sent from my TECNO B1f using JamiiForums mobile app
 
Unaweza ukawa na ushahidi wowote katika haya? Hivi kwa unri kama wake amebakiza nini hadi atumie mwanamke picha ya Boro? Acha hizo we February Makamba.
Inaonekana Kongolo kayaanzia ukubwani na kwakuwa hakuyazoea ndo amevurugwa kabisa.Hivi hilo bolo bolo bolo halikuwa na Sweta aka Govinda?

Sent from my TECNO B1f using JamiiForums mobile app
 
Hili la Samia kumaliza muda wake 2030 naona ni propaganda ya sasa!!

Demokrasia ifuate mkondo wake, hajawahi kuchaguliwa na wajumbe wa CCM- Ameokota dodo chini ya mbuyu,aache wanaoweza kuangua madodo wakalisha familia nzima waangue!
Katiba ya Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania ya 1977 na marekebisho yake inamruhusu Sa 100 kugombea na kuwa rais Kwa msimu mmoja wa miaka 5,hivyo 2025 ni ruksa kugombea.

Sent from my TECNO B1f using JamiiForums mobile app
 
ccm mbona mnasumbuka sana... hiyo michezo yenu mbona mnafanya sana... na kuna nyakati mnadhulumu kabisa haki ya kuishi
 
Mzee "Sitanii" ni hivi:
Majuzi tu nikiwa wilayani Longido nikapata habari kwamba kuna bwana mmoja aliwahi kuwa mkuu wa wilaya katika wilaya hiyo na baadae kuhamishiwa katika moja ya wilaya za mkoa wa Dar es Salaam ambapo baadae alipanda cheo na kuwa mtu mkubwa tu kwenye chama tawala. Kwamba kipindi akiwa wilayani Longido akajiingiza kwenye mahusiano ya kimapenzi na mama mmoja wa kimasai ambaye pia hadi leo ni mke wa bwana mmoja wa kihabeshi aitwae Pierre. Wakati huyo mama akiwa katika mahusiano na huyo mkuu wa wilaya kumbe akawa na mahusiano na wanaume wengine na mkuu wa wilaya akagundua hilo na kukasirika. Baadae huyo mkuu wa wilaya akaja kuhamishiwa katika moja ya wilaya za Dsm. Huku nyuma Longido mtoto wa kike wa yule mama akawa kachaguliwa kuingia chuoni pale Mlimani na mama akamwomba huyo mkuu wa wilaya awe anasaidia kumwangalia binti kipindi akiwa chuoni. Baada ya binti kufika chuoni yule mkuu wa wilaya akaanzisha nae mahusiano ya kimapenzi bila kujali kwamba alikuwa na mahusiano ya aina hiyo hiyo na mama wa binti. Nia ya kufanya hivyo ikiwa ni kumkomoa yule mama kwa vile kipindi akiwa nae alikuwa akitembea na wanaume wengine. Huyo mkuu wa wilaya akampangishia nyumba huyo binti ambaye jina lake linaanza na Vi... na pia kumnunulia furniture na vitu vingine muhimu. Hatimaye binti akapata ujauzito wa huyo mkuu wa wilaya na alipomfahamisha huyo mkuu kuhusu ujauzito wake jamaa akaruka mita mia na kumtelekeza jumla binti ambaye baadae alishindwa kuendelea na masomo, kulipa kodi ya nyumba na hata kumudu gharama nyinginezo za maisha. Ikabidi binti aombe msaada kwa msamaria mwema kumhifadhia vitu vyake maeneo ya Tabata na yeye binti kuishi kwa msamaria mwema mwingine maeneo hayo hayo ya Tabata tena pasipo kuwaleza wazazi wake kinachoendelea. Hatimaye mwanzoni mwa mwaka 2019 binti akawa kajifungua kwa shida mtoto wa kiume na kwa sasa yupo kwao Longido akiendelea kuomboleza kwa kile alichofanyiwa na huyo mkuu wa wilaya wa zamani.

Hivyo pamoja na kwamba "hautanii" lakini kumbuka siku zote jasiri haachi asili.
 
Mtaje Mkuu Kwa majina matatu. Tufuatilie faili lake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…