Yoda
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 48,475
- 70,102
Nyie hamfurahii kurudi kwa uhuru wa habari na kutoa maoni kinzani kwa watu wote?
Hamfurahii kuona redio na TV zikiwa zimechangamka na za moto kwa mijadala mbalimbali?
Hamfurahii kuona magazeti yameanza kuvutia wasomaji tena?
Hamfurahii kuona ada tata za YouTube zinaanza kuondolewa?
Hamfurahii kuona CAG anaweza kuisoma ripoti yake na ikaibua mijadala ya kuboresha utendaji wa taasisi, idara na mashirika ya nchi?
Hamfurahii Spika akiibua mjadala wa bandari ya Bagamoyo na ukajadiliwa?
Hamfurahi kuona wafanyabiashara, wafanyakazi na watu wengine wakiongelea kwa uhuru mambo yalivyokwenda na yanavyotakiwa kwenda mbeleni?
Kama hamfurahii hayo katika eneo la uhuru wa habari na kutoa maoni huru tu na mabadiliko mengine mengi sehemu nyingine nyingi mnataka nchi ya aina gani basi?
Hamfurahii kuona redio na TV zikiwa zimechangamka na za moto kwa mijadala mbalimbali?
Hamfurahii kuona magazeti yameanza kuvutia wasomaji tena?
Hamfurahii kuona ada tata za YouTube zinaanza kuondolewa?
Hamfurahii kuona CAG anaweza kuisoma ripoti yake na ikaibua mijadala ya kuboresha utendaji wa taasisi, idara na mashirika ya nchi?
Hamfurahii Spika akiibua mjadala wa bandari ya Bagamoyo na ukajadiliwa?
Hamfurahi kuona wafanyabiashara, wafanyakazi na watu wengine wakiongelea kwa uhuru mambo yalivyokwenda na yanavyotakiwa kwenda mbeleni?
Kama hamfurahii hayo katika eneo la uhuru wa habari na kutoa maoni huru tu na mabadiliko mengine mengi sehemu nyingine nyingi mnataka nchi ya aina gani basi?