Youngblood
JF-Expert Member
- Aug 1, 2014
- 19,433
- 56,810
Licha ya onyo kali la mwenyekiti kwamba mtu aliye mteuwa asijaribu kutangaza nia ya kugombea ubunge sehemu yoyote ile kwani atamkata,lakini hali imekuwa tofauti kabisa kwani wateuliwa asilimia kubwa wameonekana wakiachia nafasi zao na kwenda kuchukua fomu za kuomba kupitishwa kuwa wagombea ubunge majimbo mbalimbali kinyume na agizo la mwenyekiti wao.
Kwa wajuzi wa mambo ya siasi, Je hii inamaanisha nini,ni kwamba njaaa imezidi ama watu wameamua kujilipua kwenye ubunge kutokana na marupurupu mengi au wamechoka kutumika?
Kwa wajuzi wa mambo ya siasi, Je hii inamaanisha nini,ni kwamba njaaa imezidi ama watu wameamua kujilipua kwenye ubunge kutokana na marupurupu mengi au wamechoka kutumika?