Siamini unyonge walionao watu wa Bukoba, yaani hawana priority Wala pride tena, nitegemea kuona wakihamasishana kuondoa dhuluma ya utawala badala yake wako busy kujikomba? Hivi wenzetu walikuwa na uchaguzi 2020? Kumbe JPM hakukosea kuwatenda wanafiki hawa!