Watia Nia wa CCM 2030 Mnaitwa Huku.

Watia Nia wa CCM 2030 Mnaitwa Huku.

Hapo wanatakiwa kuwa na mechanism ya ndani ya chama kudhibiti watu wa hivyo japo ni ngumu kidogo.
Ya ni ngumu kidogo kupata watu wa kumdhibiti mtu wa aina hiyo.

Sema uzuri Mungu huwa anatupa viongozi ambao huwa hawatumii mamlaka vibaya kupitiliza.

Hata akiwa mbabe bado kuna baadhi ya mambo ya hovyo ambayo hawezi kuyafanya.
 
CCM watavurugana sana mwaka huu
Yaani hatari, mbaya zaidi Rais hana mvuto, kwa hulka yake, jinsia, alitakiwa atafute mgombea mwenza Mwenye mvuto!!! angalau kusaidia kiasi flani!!!
Naona safari hii CCM inaenda kuanguka anguko bila kutarajia 2025 October siyo mbali, tuombee Lissu ashinde tuu.
 
Back
Top Bottom