Kibosho1
JF-Expert Member
- Dec 12, 2017
- 2,621
- 4,293
Ukiona kunguru wengi sehem ujue kuna mzoga.
Kwenye mada: Kwanza kabisa tunapaswa kukumbuka kuwa hii ni rekodi mpya kwa watia nia wa Ubunge.
Katika tafiti za kawaida tu inaonyesha ukosefu wa ajira na kukimbilia maslahi makubwa bila kuwa na sera zenye tija,kweli wote watakuwa na nia ya kuwatumikia watanzania? Kama ndio kwanini mtu aache kazi akatafute kazi? Uache uRC ukagombee ubunge? Kwani huko haukua ukiwatumikia watanzania?.
Watakao katwa pamoja na watakao shindwa ubunge watatoka na hasira kali sana na kutakuwa na wimbi la wakosoaji wengi sana kipindi hichi,kipindi cha utawala wa Magu waliotumbuliwa,wenye vyeti feke wapiga dili wote hao. Jambo ambalo litafanya CCM ichukiwe au kutokeza makundi mengi.
Hitimisho.
Kutokana na vuguvugu hilo lazma wengi wawe na hasira ya kuitoa ccm kwa hali yoyote ile. Kwaio usemi wa Nyerere wa atakaeiangusha CCM ni CCM wenyewe. Ni hayo tu.
(Mchambuzi mdogo wa mambo ya kisiasa na kijamii)
Kwenye mada: Kwanza kabisa tunapaswa kukumbuka kuwa hii ni rekodi mpya kwa watia nia wa Ubunge.
Katika tafiti za kawaida tu inaonyesha ukosefu wa ajira na kukimbilia maslahi makubwa bila kuwa na sera zenye tija,kweli wote watakuwa na nia ya kuwatumikia watanzania? Kama ndio kwanini mtu aache kazi akatafute kazi? Uache uRC ukagombee ubunge? Kwani huko haukua ukiwatumikia watanzania?.
Watakao katwa pamoja na watakao shindwa ubunge watatoka na hasira kali sana na kutakuwa na wimbi la wakosoaji wengi sana kipindi hichi,kipindi cha utawala wa Magu waliotumbuliwa,wenye vyeti feke wapiga dili wote hao. Jambo ambalo litafanya CCM ichukiwe au kutokeza makundi mengi.
Hitimisho.
Kutokana na vuguvugu hilo lazma wengi wawe na hasira ya kuitoa ccm kwa hali yoyote ile. Kwaio usemi wa Nyerere wa atakaeiangusha CCM ni CCM wenyewe. Ni hayo tu.
(Mchambuzi mdogo wa mambo ya kisiasa na kijamii)