Chuki za kuturudishia majina ya Gwajiboy huku hawakubaliki kisha wanaokubalika mnasema walikuwa watoa rushwa halafu ninyi wenyewe mnakuwa wakwanza kuwanunua watu hii haikubaliki kabisa.
Wazee ndio wanawafahamu vijana wao bila kujali chama gani ndio wawaidhinishe kugombea majimboni kutoa ujinga wakupitwa bila kupingwa. Wananchi wawe huru kumchagua wamtakaye na siyo kumpangia mpiga kura.
Wazee ndio wanawafahamu vijana wao bila kujali chama gani ndio wawaidhinishe kugombea majimboni kutoa ujinga wakupitwa bila kupingwa. Wananchi wawe huru kumchagua wamtakaye na siyo kumpangia mpiga kura.