Watoa ahadi kwa timu Vs Simba

Hizi mbon kawaida kwenye soka la bongo au nyie mmeanza kushabikia juzi...Simba na Yanga ndo maisha yao na ni kawaida akifanya Yanga, Simba kulalamika na akifanya Simba.

Yanga kulalamika hizi timu hazichukuagi ubingwa bila mmoja kumdhoofisha mwenzie...abadan asilani hata uwe na timu mzuri aje makando kando lazma..
 
Nikafikiri utaweka pia picha ya Makonda akiwakabidhi KMC Milioni 20 baada ya kuifunga Yanga. Kunya anye kuku, akinya bata kaharisha.
 
Simba Nguvu Moja
Hao Acha Wapambane Lakini Watakaa Chini Hapo Unaona Wamesimama Tayari Wamechoka Hao
 
Binadamu tumeumbwa kusahau mambo na tunazidi kuwakumbusha kipindi kile Paul Makonda akitoa ahadi hizo ilikuwa ni sahihi ila now Ally hapi kafanya vile imekuwa kosa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…