KERO Watoa Huduma Ajira Portal hawapokei simu, tunashindwa kufanya mabadiliko kwenye portal

KERO Watoa Huduma Ajira Portal hawapokei simu, tunashindwa kufanya mabadiliko kwenye portal

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua
A

Anonymous

Guest
Habari,

Ninakutana na changamoto ya kushindwa kubadilisha vyeti ili niweke vyeti vilivyohakikiwa na mwanasheria kwenye Ajira Portal ambapo inanipelekea kushindwa kuchaguliwa ninapoomba kazi.

Najaribu kuwapigia simu lakini mtoa huduma hapokei kuongea na mimi na unakuta zinatumika dakika nyingi sana (mfano dakika 30 kama inavyoonesha kwenye picha niliyoambatanisha) kumsubiria apokee simu

Sijui hawajui kama tunatumia gharama kwenye hizo dakika? Miezi imepita sasa bado sijafanikiwa

Pia soma: Ajira Portal wapo kweli ofisini? Dawati la msaada ambalo halisaidii kitu

Screenshot_20241008-125110.png
 
Ni
Habari,

Ninakutana na changamoto ya kushindwa kubadilisha vyeti ili niweke vyeti vilivyohakikiwa na mwanasheria kwenye Ajira Portal ambapo inanipelekea kushindwa kuchaguliwa ninapoomba kazi.

Najaribu kuwapigia simu lakini mtoa huduma hapokei kuongea na mimi na unakuta zinatumika dakika nyingi sana (mfano dakika 30 kama inavyoonesha kwenye picha niliyoambatanisha) kumsubiria apokee simu

Sijui hawajui kama tunatumia gharama kwenye hizo dakika? Miezi imepita sasa bado sijafanikiwa

Pia soma: Ajira Portal wapo kweli ofisini? Dawati la msaada ambalo halisaidii kitu

kweli kabisa hili tatizo, watu wanateseka kuwasliana na utumishi, wame rekodi tu sauti ya yule mama nayo mbaya, akimaliza wanaweka mziki ndo bas tenaa.

Ni vema mamlaka zichukue hatua
 
Mimi nashindwa kuelewa huu mfumo wao,kwani wasiufanye ukawa user friendly ili Kila mtu ajihudumie na kufanya atakacho wakati wa maombi,mfumo Gani ukikosea kitu Hadi upige simu makao makuu warekebishe?
 
Mara nyingi ukibadili cheti hua hakijiweki ndani ya muda huo huo, So rudi baada ya muda Then utazikuta
 
Mkuu pole weng TUMESOMA ILI TUAJILIWE na hapa weng wanapoteza muda na ni wachache WATAKAO JIELEWA il hil waliepuke hii nchi ajira zimebak za connection acha tuendelee kubet
 
Habari,

Ninakutana na changamoto ya kushindwa kubadilisha vyeti ili niweke vyeti vilivyohakikiwa na mwanasheria kwenye Ajira Portal ambapo inanipelekea kushindwa kuchaguliwa ninapoomba kazi.

Najaribu kuwapigia simu lakini mtoa huduma hapokei kuongea na mimi na unakuta zinatumika dakika nyingi sana (mfano dakika 30 kama inavyoonesha kwenye picha niliyoambatanisha) kumsubiria apokee simu

Sijui hawajui kama tunatumia gharama kwenye hizo dakika? Miezi imepita sasa bado sijafanikiwa

Pia soma: Ajira Portal wapo kweli ofisini? Dawati la msaada ambalo halisaidii kitu

Ukitaka kufanya mabadiliko bonyeza neno EDIT na sio DELETE
 
Hio taasisi ni jipu kabisa watu tuna received inaenda mwezi wa 5 sasa.
2. Usumbufu ni mkubwa kuliko huduma wanayo itoa sio customer oriented kabisa
3. Waongeze watumishi mchakato kwenda haraka sana itakua poa
 
Habari,

Ninakutana na changamoto ya kushindwa kubadilisha vyeti ili niweke vyeti vilivyohakikiwa na mwanasheria kwenye Ajira Portal ambapo inanipelekea kushindwa kuchaguliwa ninapoomba kazi.

Najaribu kuwapigia simu lakini mtoa huduma hapokei kuongea na mimi na unakuta zinatumika dakika nyingi sana (mfano dakika 30 kama inavyoonesha kwenye picha niliyoambatanisha) kumsubiria apokee simu

Sijui hawajui kama tunatumia gharama kwenye hizo dakika? Miezi imepita sasa bado sijafanikiwa

Pia soma: Ajira Portal wapo kweli ofisini? Dawati la msaada ambalo halisaidii kitu

Hakuna kitu hapo, Hawa wafanyakazi wa serikali hawafanyi wajibu wao na hamna anaewafuatilia.
Hawa ndio wamedhuru maendeleo ya nchi na ni wanyonyaji wakubwa wa jasho la walipa Kodi na wakulima.
Anatakiwa mtu atokee afyagie hizi takataka na kutupa jararani
 
Hakuna kitu hapo, Hawa wafanyakazi wa serikali hawafanyi wajibu wao na hamna anaewafuatilia.
Hawa ndio wamedhuru maendeleo ya nchi na ni wanyonyaji wakubwa wa jasho la walipa Kodi na wakulima.
Anatakiwa mtu atokee afyagie hizi takataka na kutupa jararani
Pole mkuuu
 
Wahuni tu hawa. Huwa wana disqualify watu kwa sababu ambazo hazipo. Kuna dogo hajawa selected kwa kuambiwa " Wrong application letter attached ". Lakini uki view barua ni ya maombi ya hiyo hiyo position. Wanatia hasira sana, wanawaumiza sana madogolasi.
 
Simu za Serikalini Utapiga hadi uzeeke. huwa wana sollve kupitia email watumie tatizo lako waku saidie

ict@ajira.go.tz
Nani alikwambia e mail wanajibu? Dogo education level ya degree alikosea akaiandika mara mbili. Kwa hyo imeji double yani anajikuta ameandika degree anazo mbili. Japo ile moja hajaattach vyeti lkn inaoneakana ipo, hakuna option ya kuifuta.. amepiga simu mpaka akachoka.

Last week aliniambia bro leo suendi popote anjifungia ndani niwapigie mpaka wapokee lkn ola. Akanunua dakika 300 zote zikakata ola. Katuma e mail zaidi ya 10 lkn wapi.

Ameniomba nauli aende Dodoma, yani kweli nimpe hela ya nauli kitoka Lindi mpaka Dodoma kwa issue ndogo kama hyo. Hii nchi ujinga ni mwingi sana

Cha ajabu utashangaa akifika hapo atawakuta jamaa wanapeana umbea tu wanazunguka kwenye viti tu, wanakula AC ya serikali na hakuna kitu utafanya
 
Nani alikwambia e mail wanajibu? Dogo education level ya degree alikosea akaiandika mara mbili. Kwa hyo imeji double yani anajikuta ameandika degree anazo mbili. Japo ile moja hajaattach vyeti lkn inaoneakana ipo, hakuna option ya kuifuta.. amepiga simu mpaka akachoka.

Last week aliniambia bro leo suendi popote anjifungia ndani niwapigie mpaka wapokee lkn ola. Akanunua dakika 300 zote zikakata ola. Katuma e mail zaidi ya 10 lkn wapi.

Ameniomba nauli aende Dodoma, yani kweli nimpe hela ya nauli kitoka Lindi mpaka Dodoma kwa issue ndogo kama hyo. Hii nchi ujinga ni mwingi sana

Cha ajabu utashangaa akifika hapo atawakuta jamaa wanapeana umbea tu wanazunguka kwenye viti tu, wanakula AC ya serikali na hakuna kitu utafanya
andika barua kwa soft copy juu ya tatizo lake asign atume kwa iyo email wana jibu vzuri tu.. atume email ata 5 maana watu ni wengi ..nikisema wana jibu namaanisha na uhakika
 

Attachments

  • Screenshot_20241013_223251_Gmail.jpg
    Screenshot_20241013_223251_Gmail.jpg
    63.5 KB · Views: 14
andika barua kwa soft copy juu ya tatizo lake asign atume kwa iyo email wana jibu vzuri tu.. atume email ata 5 maana watu ni wengi ..nikisema wana jibu namaanisha na uhakika
Mkuu anaisain vipi ikiwa kwenye soft copy? Au anaidika alaf ana i attach kama pdf?
 
Nani alikwambia e mail wanajibu? Dogo education level ya degree alikosea akaiandika mara mbili. Kwa hyo imeji double yani anajikuta ameandika degree anazo mbili. Japo ile moja hajaattach vyeti lkn inaoneakana ipo, hakuna option ya kuifuta.. amepiga simu mpaka akachoka.

Last week aliniambia bro leo suendi popote anjifungia ndani niwapigie mpaka wapokee lkn ola. Akanunua dakika 300 zote zikakata ola. Katuma e mail zaidi ya 10 lkn wapi.

Ameniomba nauli aende Dodoma, yani kweli nimpe hela ya nauli kitoka Lindi mpaka Dodoma kwa issue ndogo kama hyo. Hii nchi ujinga ni mwingi sana

Cha ajabu utashangaa akifika hapo atawakuta jamaa wanapeana umbea tu wanazunguka kwenye viti tu, wanakula AC ya serikali na hakuna kitu utafanya
Mbna kujidouble sidhani kama ni shida. Watu wamemix hadi vyeti lkn interview wanaitwa kila siku. Awe na amani kujidouble haina shida hta kidgo
 
Back
Top Bottom