KERO Watoa Huduma Ajira Portal hawapokei simu, tunashindwa kufanya mabadiliko kwenye portal

KERO Watoa Huduma Ajira Portal hawapokei simu, tunashindwa kufanya mabadiliko kwenye portal

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua
Ukumbuke barua hazipitiwi na watu Ni mfumo. Hakikisha barua yako inaweza kutambuliwa na mfumo aka Robot
Wahuni tu hawa. Huwa wana disqualify watu kwa sababu ambazo hazipo. Kuna dogo hajawa selected kwa kuambiwa " Wrong application letter attached ". Lakini uki view barua ni ya maombi ya hiyo hiyo position. Wanatia hasira sana, wanawaumiza sana madogolasi.
 
Habari,

Ninakutana na changamoto ya kushindwa kubadilisha vyeti ili niweke vyeti vilivyohakikiwa na mwanasheria kwenye Ajira Portal ambapo inanipelekea kushindwa kuchaguliwa ninapoomba kazi.

Najaribu kuwapigia simu lakini mtoa huduma hapokei kuongea na mimi na unakuta zinatumika dakika nyingi sana (mfano dakika 30 kama inavyoonesha kwenye picha niliyoambatanisha) kumsubiria apokee simu

Sijui hawajui kama tunatumia gharama kwenye hizo dakika? Miezi imepita sasa bado sijafanikiwa

Pia soma: Ajira Portal wapo kweli ofisini? Dawati la msaada ambalo halisaidii kitu

pole sana kwa kadhia hiyo mkuu,tatizo la kutokupokelewa simu siyo la mtu mmoja ni wengi sana na mie nikiwa mmoja wao,hiyo idara inakera,mara 100 hiyo namba ya simu waiondoe isiwepo kabisa ili ukiwa na tatizo usafiri tu kwenda dodoma.

Yaani unapiga simu mpaka unakereka unaishia kujifyonza tu mwenyewe hakuna anayethubutu kupokea sim hata kwa bahati mbaya.
 
Ajira portal ni mfumo wa kiuchumi.

Kwani itakuwaje endapo mtu ataingiza taarifa zake kwenye mfumo wa maombi Moja Kwa Moja kama vile ambavyo watu walivyokuwa wanaomba kupitia mfumo wa TAMISEMI?

Pia niliwahi kushauri jambo Moja kwamba halmashauri za wilaya zianzishe utaratibu wa kusajiri wahitimu wa fani mbalimbali kila mwaka ili serikali inapokuwa inahitaji watumishi basi waajiri wahitimu waliosajiriwa kwenye halmashauri zao.
Mfano serikali inahitaji watumishi wa afya au elimu 10,800 na ikiwa halmashauri zipo 180 basi kila halmashauri Moja itatoa watumishi 60. Utaratibu huu utasaidia sana katika kutatua kero za ajira Kwa baadhi ya maeneo kwasababu inawezekana Kwa Sasa upo utaratibu wa kuajiriwa baadhi tu ya watu Fulani kutoka kwenye maeneo machache.

Ifahamike kwamba ishu sio kutangaza ajira Bali ishu ni kuajiri watumishi watakaofanya kazi Kwa masirahi ya taifa lao.

Serikali kutoa taarifa kwamba imeajiri watumishi kadhaa kwenye kada mbalimbali ni muhimu zaidi kuliko kutoa matangazo ya ajira kwasababu kuwatangazia watu laki Tano waombe ajira ikiwa hitaji ni watu elfu10 Bado Haina thamani lakini kama watu wataajiriwa Kwa awamu kulingana na vile wanavyojisajiri kwenye halmashauri zao ni muhimu zaidi.

Chukua Hiyo kama itakupendeza.
 
Nafikiri hili ni kwa taasisi za serikali asilimia kubwa hazina huo utaratibu wa kupokea simu. Zimewekwa tu kama geresha. Nilijaribu kwa miezi kadhaa idara ya maji Arusha (AUWSA) aisee🤧🤧🤧🤧
 
Habari,

Ninakutana na changamoto ya kushindwa kubadilisha vyeti ili niweke vyeti vilivyohakikiwa na mwanasheria kwenye Ajira Portal ambapo inanipelekea kushindwa kuchaguliwa ninapoomba kazi.

Najaribu kuwapigia simu lakini mtoa huduma hapokei kuongea na mimi na unakuta zinatumika dakika nyingi sana (mfano dakika 30 kama inavyoonesha kwenye picha niliyoambatanisha) kumsubiria apokee simu

Sijui hawajui kama tunatumia gharama kwenye hizo dakika? Miezi imepita sasa bado sijafanikiwa

Pia soma: Ajira Portal wapo kweli ofisini? Dawati la msaada ambalo halisaidii kitu

Hello, Kama bado una tatizo ajira portal wasiliana nami kwa 0623446608
 
Nafikiri hili ni kwa taasisi za serikali asilimia kubwa hazina huo utaratibu wa kupokea simu. Zimewekwa tu kama geresha. Nilijaribu kwa miezi kadhaa idara ya maji Arusha (AUWSA) aisee🤧🤧🤧🤧
Mimi nawapongeza TANESCO , namba yao mara zote nikiwa na shida wanapokea na kunitatulia shida yangu. Hongera kwao.
 
Wahuni tu hawa. Huwa wana disqualify watu kwa sababu ambazo hazipo. Kuna dogo hajawa selected kwa kuambiwa " Wrong application letter attached ". Lakini uki view barua ni ya maombi ya hiyo hiyo position. Wanatia hasira sana, wanawaumiza sana madogolasi.
Shida za madogo hawasomi tangazo la kazi vizuri,,,umeambiwa umwa address mwajiri fulani,,,yeye barua anaiandikia sekretarieti ya ajira,,,
 
Ukumbuke barua hazipitiwi na watu Ni mfumo. Hakikisha barua yako inaweza kutambuliwa na mfumo aka Robot
Huu ni uongo mkubwa sana,,,barua zote zinapitiwa na watu wa taasisi husika,,ukiona tangazo la kazi la halmshauri flani ujue yale maobi yanaenda huko halmashauri na maafisa utumishi wanapitia kupitia mfumo
 
Huu ni uongo mkubwa sana,,,barua zote zinapitiwa na watu wa taasisi husika,,ukiona tangazo la kazi la halmshauri flani ujue yale maobi yanaenda huko halmashauri na maafisa utumishi wanapitia kupitia mfumo
Sio rahisi mtu mwenye akili Kama zako kuelewa ninacho kieleza
 
Back
Top Bottom