🙄labda kama unaamua kunitelekezaHatujafikia huko mama, hata Roho mtakatifu hafanyi kazi namna hiyo
Sina tabia hiyo, lakini kwanini Juani achumie mwingine na kivulini alie mwingine sio vizuri🙄labda kama unaamua kunitelekeza
Likatimie neno hili maana nnauhutaji sana wa hizo baraka zenyewe😆😆Barikiwa mkuu
Basi yaishe! Usije kulia bure🙄Sina tabia hiyo, lakini kwanini Juani achumie mwingine na kivulini alie mwingine sio vizuri
Umeacha kunichukia rafiki?Basi yaishe! Usije kulia bure🙄
Aiseee! Kichwa kinaniuma nilivyoona unaniita rafikiUmeacha kunichukia rafiki?
😁Mwanajeshi mzima unaumwa kichwa kizembe hivyo?Aiseee! Kichwa kinaniuma nilivyoona unaniita rafiki
Damu zetu haziendani! Mbona kwa wengine siumwi😁Mwanajeshi mzima unaumwa kichwa kizembe hivyo?
Hahaha hata mimi naona hivyo , kaa mbali mita 100😆Damu zetu haziendani! Mbona kwa wengine siumwi
Hahaha hata mimi naona hivyo , kaa mbali mita 100😆
Kwema kabisa.Wamenijibia mkuu😉 kwema lakini?