Nedlloyd
JF-Expert Member
- Mar 29, 2014
- 10,361
- 27,215
Huko sio TV Hadi Roho mbovu zimejaa.Kumbe bara ndo Kuna TV mbovu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huko sio TV Hadi Roho mbovu zimejaa.Kumbe bara ndo Kuna TV mbovu?
Kingine kipi?🤣🤣🤣🤭 Tatizo una viapo vingi
Hapana, komenti ni mawazo, elimu, ushauri nk.Hata comment hizi,wadhani zatusaidia kitu mkuu...ni kuoneshana upendo tu
Jibu ni hilo mwishoni...kufurahi tuHapana, komenti ni mawazo, elimu, ushauri nk.
Ila labda kwa likes nahisi umenijibu, ni kuonyeshwa upendo.
Labda swali linakuja, ukionyeshwa upendo inakusaidia nini?
Labda unakuwa umefurahi tu au?
Hebu tuwataje hapa watoa Likes Mimi namfahamu rara rere riri roro ruruWatoa likes wawe wanapewa likes nyingi.Siyo mtoa likes unakuta comment yake iko na like moja😳🙄....Jitahidini members...kuoneshana upendo siyo gharama.
Nimewasemea eti!?🥴
Hivi matajiri wa vocha wameishia wapi, sijaambulia hata 100 mbovu Bantu Lady wewe ndo wa kuninyima vocha😂😂😂We gawa Vocha mbona mashine za like zipo zimepaki.
Yupo kila siku anapita kimya kimyaNimeona last seen yake ni Jana, itakuwa kabanana na majukumu...
mkalaikiane Prime MinisterKwamimi ninaekuLike mpaka wewe nacomment wapi?
Unanze kukomenti na nyuzi za kuisifia ccm
Kuliko niisifie bora nipoteze maisha mkuu😁Unanze kukomenti na nyuzi za kuisifia ccm