Watoa Motisha, leo Taifa Stars inacheza

Watoa Motisha, leo Taifa Stars inacheza

Hardlife

JF-Expert Member
Joined
Apr 11, 2021
Posts
2,758
Reaction score
6,299
Kutoka kwa Ujugu kuwa leo kama hawaoni vile.

1633594457847.jpg
 
Hakuna hata ahadi ya soksi
 
Yuwapi mtoa motishamkuu Makonda!!! Maisha yanakwenda Kasi Sana.
 
Aliyemwambia kwamba Taifa stars ni kipaumbele chetu cha kwanza ni nani?

Labda motisha wapewe Benin Ili waifunge stars
 
Tayari tushapigwa KO huko,tuna ya kujifunza kwelikweli na tutaishia kusema kila siku tunazidi kuimarika...ila shikamoo mfungaji wa bao,bonge moja la bao
 
Tayari tushapigwa KO huko,tuna ya kujifunza kwelikweli na tutaishia kusema kila siku tunazidi kuimarika...ila shikamoo mfungaji wa bao,bonge moja la bao
Nilikuwa uwanjani leo dah.
 
Back
Top Bottom