Kama Tz vileNchi masikini za ujanja ujanja na utapeli
Asante sana mdau umenithibitishia nilichokuwa nawaza. Huyo mzee niliyemtaja bila shaka alisoma harakaharaka jina la kiingereza la 'shithole' kwake likaonekana 'shilole'Shilole shithole pango chafu kibudu [emoji1321]♂️[emoji1321]♂️[emoji1321]♂️[emoji377][emoji377][emoji377]
Yule sio bint, ni Bibi!Fuata mdundo wa thread ndugu shilole inayozungumziwa siyo yule binti wa Igunga.
Shirthole=Shilole?Sithole = shilole[emoji23] [emoji23] [emoji40] [emoji3]
Sawa mdau, utakioata ukitakachoAsante sana mdau umenithibitishia nilichokuwa nawaza. Huyo mzee niliyemtaja bila shaka alisoma harakaharaka jina la kiingereza la 'shithole' kwake likaonekana 'shilole'
Mdau, nakushukuru sana kunisaidia.