SHIEKA
JF-Expert Member
- Dec 20, 2011
- 8,240
- 4,265
Nimemsikia baba mmoja akimweleza mwenzake kwamba sasa hivi watu wanamshambulia rais Trump wa marekani kwa kuwatukana watu watokao Haiti na Afrika kwamba watu hao wanatoka nchi za shilole na hawatakiwi amerika.Huyo mzee akamwomba mwenzake amweleze maana ya nchi za "shilole"
Kama wajua mweleze huyo mzee.
Kama wajua mweleze huyo mzee.