Mwafrika wa Kike
JF-Expert Member
- Jul 5, 2007
- 5,185
- 60
siku kumi na moja zimepita kuanzia niweke bandiko hilo hapo juu.
kwa mujibu wa maelezo ya Mugishangwe, kuanzia tarehe 21 october hadi leo hii, watoto zaidi 95 na watu wazima 76 wamekufa katika hospitali hiyo ya Musoma. Kuna wilaya zaidi ya mia moja Tanzania na zingine hali yake inatisha kuliko musoma so do your math!
Wakati hivi vifo vikiendelea, Kikwete anapanga safari nyingine ya kuja US for a week kabla ya kwenda Asia kutalii kwa visingizio vya umatonya na kuchoma mabilioni ya pesa!
sob sob sob sob sob.......
kwa mujibu wa maelezo ya Mugishangwe, kuanzia tarehe 21 october hadi leo hii, watoto zaidi 95 na watu wazima 76 wamekufa katika hospitali hiyo ya Musoma. Kuna wilaya zaidi ya mia moja Tanzania na zingine hali yake inatisha kuliko musoma so do your math!
Wakati hivi vifo vikiendelea, Kikwete anapanga safari nyingine ya kuja US for a week kabla ya kwenda Asia kutalii kwa visingizio vya umatonya na kuchoma mabilioni ya pesa!
sob sob sob sob sob.......