commited
JF-Expert Member
- Feb 27, 2012
- 1,624
- 871
SOURCE ITV
Zaidi ya watoto 7000, wilayani mbozi-mbeya wamefaulu kuingia kidato cha kwanza huku hawajui kusoma wala kuandika.
Na mwaka 20111/2012 watoto 28,000 walifaulu bila kujua kusoma wala kuandika, na waliochukuliwa kuingia kidato cha kwanza takribani 70% ni wale waliopata daraja la D na F,
Hii ndio tanzania, maendeleo tusahau kwa huu mwendo wa kuleta siasa katika elimu
Cc; ritz, chama, wingu et al...
Zaidi ya watoto 7000, wilayani mbozi-mbeya wamefaulu kuingia kidato cha kwanza huku hawajui kusoma wala kuandika.
Na mwaka 20111/2012 watoto 28,000 walifaulu bila kujua kusoma wala kuandika, na waliochukuliwa kuingia kidato cha kwanza takribani 70% ni wale waliopata daraja la D na F,
Hii ndio tanzania, maendeleo tusahau kwa huu mwendo wa kuleta siasa katika elimu
Cc; ritz, chama, wingu et al...