Mr Mchepuko, aka Chibu dangote aka Simba, amemwomba radhi mzazi mwenzie Zari kwa kuchepuka.
Lakini pia Ameendelea zaidi kumwomba Zari amwombee radhi kwa watoto wake wa "Sauzi" kwa "ujinga wake" wa kumsaliti mzazi mwenzie huyo!
Nimejiuliza tu, hao watoto wanaoenda kuombwa radhi kwa "baba" yao ku-mobetuka, ni wepi haswa?;
Ni Tiffa na Mdogo wake? Au ni wale wa Marehemu Ze Dongii?
BTW,
Kijana kaapa kwenda kwa magoti hadi "Sauzi" kuomba radhi kwa bebi wake iwapo atasikia kamagwa., good idea!
Ajitahidi tu kumkwepa Gigy anayemnyemelea kwa spidi kwani washajua hajui kusema no. Na ikitokea hiyo tena, ajiandae kutembea kwa makalio hadi "Sauzi" kubembeleza!!!
TehTehee...., Sijui nani alitulogaaaa (JPM).
Lakini pia Ameendelea zaidi kumwomba Zari amwombee radhi kwa watoto wake wa "Sauzi" kwa "ujinga wake" wa kumsaliti mzazi mwenzie huyo!
Nimejiuliza tu, hao watoto wanaoenda kuombwa radhi kwa "baba" yao ku-mobetuka, ni wepi haswa?;
Ni Tiffa na Mdogo wake? Au ni wale wa Marehemu Ze Dongii?
BTW,
Kijana kaapa kwenda kwa magoti hadi "Sauzi" kuomba radhi kwa bebi wake iwapo atasikia kamagwa., good idea!
Ajitahidi tu kumkwepa Gigy anayemnyemelea kwa spidi kwani washajua hajui kusema no. Na ikitokea hiyo tena, ajiandae kutembea kwa makalio hadi "Sauzi" kubembeleza!!!
TehTehee...., Sijui nani alitulogaaaa (JPM).