walikua hawajui pakumpata.Aisee,siku zote walikua wapi hadi kujitokeza leo hii!
Mkuu nimeisikia hiyo na bahati mbaya engineer wa mipango hiyo ni Bashite. Bashite hataki kushindwa vita, anajiingiza hata mambo yasiyo mstahili kwa vile Baba yake mzaa baba ana provide ulinzi kwake.una uhakika gani kuwa sio watoto wake??