Iselamagazi
JF-Expert Member
- Sep 26, 2011
- 6,020
- 6,161
Duuh!walikua hawajui pakumpata.
kUNA MTU akili zake hazimtoshi hata kujua mlango wa chooAisee,siku zote walikua wapi hadi kujitokeza leo hii!
kUNA MTU akili zake hazimtoshi hata kujua mlango wa chooAisee,siku zote walikua wapi hadi kujitokeza leo hii!
kUNA MTU akili zake hazimtoshi hata kujua mlango wa choo
au kikao cha mlimani c. kimewaibua.Kwa hali ambayo imedhihirika imepangwa ili kumchafua Pierre Liquid, watu wameanza kujitokeza kueleza kuwa wamezaa na Pierre. Tukumbuke mambo kama haya yalitokea nyakati za nyuma kuwachafua watu wenye mambo fualani kwa malengo maalu. TUMWOGOPE SANA MUNGU na tuache kuchukiana kutendeana ubaya. TUPENDANE. Mtoto mwenyewe huyuView attachment 1063096
Watoto ni baraka kama ni wa kwake kweliuna uhakika gani kuwa sio watoto wake??