Braza Kede
JF-Expert Member
- Nov 1, 2012
- 3,840
- 6,844
Daahh haya mambo bwana kuna muda huku kibaruani mnapata wageni hawajui kiswahili mnaanza kutafuta visingizio vya kuwakwepa au mnamsakizia mwenzenu mmoja mwenye unafuu akamalizane nao huko, mambo yasiwe mengi.
Kumbe wamba mpo kimya mmejifungia ndani kama hampo vile kuna mnawazoom tu nyuma ya vioo.👀
Kuna wakati nashangaa sana humu wanaotetea kuwapeleka watoto hizi shule za kayumba maana huu ndo mwisho wake anakuja mgeni inakuwa patashika bin tafrani. sasa ukiwa bosi hlf haujimudu ndo balaa zaidi maana wewe hauwezi kujificha lazma utoke huko ndani ukapambane na equals wako, hapo chacha😳lugha gongana.
Kumbe wamba mpo kimya mmejifungia ndani kama hampo vile kuna mnawazoom tu nyuma ya vioo.👀
Kuna wakati nashangaa sana humu wanaotetea kuwapeleka watoto hizi shule za kayumba maana huu ndo mwisho wake anakuja mgeni inakuwa patashika bin tafrani. sasa ukiwa bosi hlf haujimudu ndo balaa zaidi maana wewe hauwezi kujificha lazma utoke huko ndani ukapambane na equals wako, hapo chacha😳lugha gongana.