Watoto wa English medium wanachezea lugha ya malkia wakati mimi ndo naihitaji huku kazini

Watoto wa English medium wanachezea lugha ya malkia wakati mimi ndo naihitaji huku kazini

Vitoto vya Kichina vidogo kabisa viko vina fanya practical viwandani, liona video kule Japani, vitoto vidogo viko kwenye kiwanda cha Magari cha Toyota vijanajifunza, Huku tuna komaa na Lugha, hakuna nchi imepiga hatua za kiuchumi kupitia Lugha na huu ujinga sijui nani anawaaminisha.
 
images - 2025-02-14T230532.992.jpeg

Tuendelee sisi kujipa matumaini na Kingereza, hawa watoto wanajua Kijapani pekee, sisi tumekomaa na ujinga wa Lugha
 
Kama una smartphone mbona unawasiliana nao fresh tu.
Acha unyonge sio lazima kufahamu kila lugha.
Kwa sasahivi smart phones zimerahisisha sana mawasiliano
 
tatizo muda kiongozi
Tatizo sio muda sema hilo suala hujalipa kipaumbele. Inawezekana ukawa unafundishwa online. Then weekend days unaenda physically. Kuongea kingereza ni rahisi ukishajua basics zake.
 
Utumwa tu huo, Tafuta mkalimani ndiyo.kazi.zao hizo.mbona hao.wageni wao.hawajui kiswahili.na huoni kama ni.shida nao wanashida.pia..Yaani wewe unaona hatia kutokujua kingereza ila wageni kutokujua kiswahili siyo tatizo.
Umemaliza.
Tumekuwa watumwa hadi hatuoni aibu.
Hivi kati ya mgeni na mwenyeji ni nani anatakiwa kujifunza lugha ya mwenzake
 
Utumwa tu huo, Tafuta mkalimani ndiyo.kazi.zao hizo.mbona hao.wageni wao.hawajui kiswahili.na huoni kama ni.shida nao wanashida.pia..Yaani wewe unaona hatia kutokujua kingereza ila wageni kutokujua kiswahili siyo tatizo.
Ofisi haiwezi kulipia mkalimani utamlipa nini na mishahara yetu ya kimasikini dunia ya tatu?
 
Hiyo office yenu inajihusisha na utoaji wa huduma gani?
Na ilikuaje wewe boss ukaajiriwa ilihali mweupe kichwani?
 
Back
Top Bottom