BLACK MOVEMENT
JF-Expert Member
- Mar 11, 2020
- 4,548
- 11,901
Ni propagdana tena ya kijinga na wanao sifia ni wajinga plus,Hii ni propaganda ya kusifia English Medium
Ndiyo atenge muda ajajifunze.rasi simba ndio suluhisho
Tatizo sio muda sema hilo suala hujalipa kipaumbele. Inawezekana ukawa unafundishwa online. Then weekend days unaenda physically. Kuongea kingereza ni rahisi ukishajua basics zake.tatizo muda kiongozi
Umemaliza.Utumwa tu huo, Tafuta mkalimani ndiyo.kazi.zao hizo.mbona hao.wageni wao.hawajui kiswahili.na huoni kama ni.shida nao wanashida.pia..Yaani wewe unaona hatia kutokujua kingereza ila wageni kutokujua kiswahili siyo tatizo.
mkuu mbn kama hbr za abunuwasi izi?View attachment 3236635
Tuendelee sisi kujipa matumaini na Kingereza, hawa watoto wanajua Kijapani pekee, sisi tumekomaa na ujinga wa Lugha
Ofisi haiwezi kulipia mkalimani utamlipa nini na mishahara yetu ya kimasikini dunia ya tatu?Utumwa tu huo, Tafuta mkalimani ndiyo.kazi.zao hizo.mbona hao.wageni wao.hawajui kiswahili.na huoni kama ni.shida nao wanashida.pia..Yaani wewe unaona hatia kutokujua kingereza ila wageni kutokujua kiswahili siyo tatizo.
Ndo hapo sasaUmemaliza.
Tumekuwa watumwa hadi hatuoni aibu.
Hivi kati ya mgeni na mwenyeji ni nani anatakiwa kujifunza lugha ya mwenzake
Senkyuu,hawayuYaaah ushindwe A for Mango
Kweli wewe poor brain
Zulu karibu sana huku kwetu vijijiniSenkyuu,hawayu
Unaniweza kijana?
Tuko pamoja, niko vijijini pia na huenda ni majiraniZulu karibu sana huku kwetu vijijini
kwavipi mkuu wakati umeelezewa maisha ya kawaida tunayokumbana nayo uku makaziniHii ni propaganda ya kusifia English Medium
hlf vinajiamini ivi hatari ukayumbishi apoEnglish medium zinasaidia sana
🤝🤝hahaha pole mkuu
🤔mkalimani tena kiongozi?Ofisi haiwezi kulipia mkalimani utamlipa nini na mishahara yetu ya kimasikini dunia ya tatu?