Watoto wa IGP Mstaafu Omari Mahita walioajiriwa na Jeshi la Polisi Tanzania wako wangapi?

Watoto wa IGP Mstaafu Omari Mahita walioajiriwa na Jeshi la Polisi Tanzania wako wangapi?

Hili ni swali muhimu linalopaswa kujibiwa , Inafahamika kwamba miongoni mwa watoto hao wa Mahita yumo Mahita Omari ambaye sasa imefahamika kwamba amewekwa kwenye kundi la WATESAJI , au kwa jina la kisasa ni WATU WASIOJULIKANA , hatuna shida naye maana tayari ameanikwa hadharani na Mungu .

Swali ni hili , ni watoto wangapi wa Mahita mwenyewe ama viongozi wengine wa jeshi la polisi waliopewa ajira Polisi na yalivyo majukumu yao ? hatuna shida na njia walizotumia kupata ajira hiyo .

Natanguliza Shukrani .
Kweli Mkuu ni vema tukawajua maana inaelekea wana tabia na sura kama ya Baba yao..
Namjua binti yake yupo US anafanya uchangudoa anaitwa Hidaya.
 
Hili ni swali muhimu linalopaswa kujibiwa , Inafahamika kwamba miongoni mwa watoto hao wa Mahita yumo Mahita Omari ambaye sasa imefahamika kwamba amewekwa kwenye kundi la WATESAJI , au kwa jina la kisasa ni WATU WASIOJULIKANA , hatuna shida naye maana tayari ameanikwa hadharani na Mungu .

Swali ni hili , ni watoto wangapi wa Mahita mwenyewe ama viongozi wengine wa jeshi la polisi waliopewa ajira Polisi na yalivyo majukumu yao ? hatuna shida na njia walizotumia kupata ajira hiyo .

Natanguliza Shukrani .
Kuna mmoja anaitwa Iddy anakula nchi toka kitambo akiwa St.marys wakiwa wanashindani kuja na hela class,naona sasa kao binti wa kiarabu anakula maini tu masaki.
 
Ukishangaa ya Mahita usisahau na vigogo wa CCM kuanzia mwenyekiti taifa mwenyewe kila kukicha wasipopeana ulaji wenyewe wanapewa watoto wao.
 
Kwani hao watoto hawapaswi kufata ndoto zao kupitia baba zao Mzee mlaumu mama ako kwa kukuchagulia baba jinga jinga ona sasa unaonea wivu baba wa wenzako
Bush mwanaye alikuwa rais huko USA
Kim Jong un babu yake alikuwa mtawala
Kabila mwanaye akawa rais
Karume mwanae akawa rais
Mwinyi mwanae akawa rais hiyo ni mifano michache jinsi mama wa wenzako walivyo chagua wababa wapiganaji kwa familia zao

Wewe ndo madhara ya mama kuchagua baba uliye naye sasa busy 'JF kuangaika na watoto wa kina mahita
Mbowe mwenyewe chadema kapewa sebleni na baba mkwe wake mzee Mtei
Ushaur bro anza kuandaa maisha ya watoto wako usiwe kama baba ako kashindwa kukuandalia
Ushauri mzuri, kwani mama anachagua ama mama ndiye anayemfanya ivyo mama jamani. Kwa kila maendeleo ya mwanaume mwanamke yupo nyuma yake ama nimesahau
 
Taasisi ya uma inapomilikiwa na kikundi cha mabwanyenye wachache na kufanya mali yao
 
Kwani hao watoto hawapaswi kufata ndoto zao kupitia baba zao Mzee mlaumu mama ako kwa kukuchagulia baba jinga jinga ona sasa unaonea wivu baba wa wenzako
Bush mwanaye alikuwa rais huko USA
Kim Jong un babu yake alikuwa mtawala
Kabila mwanaye akawa rais
Karume mwanae akawa rais
Mwinyi mwanae akawa rais hiyo ni mifano michache jinsi mama wa wenzako walivyo chagua wababa wapiganaji kwa familia zao

Wewe ndo madhara ya mama kuchagua baba uliye naye sasa busy 'JF kuangaika na watoto wa kina mahita
Mbowe mwenyewe chadema kapewa sebleni na baba mkwe wake mzee Mtei
Ushaur bro anza kuandaa maisha ya watoto wako usiwe kama baba ako kashindwa kukuandalia
Wewe baba yako kakuandalia nini? Stupid sod 🚮🚮🚮
 
Kwani hao watoto hawapaswi kufata ndoto zao kupitia baba zao Mzee mlaumu mama ako kwa kukuchagulia baba jinga jinga ona sasa unaonea wivu baba wa wenzako
Bush mwanaye alikuwa rais huko USA
Kim Jong un babu yake alikuwa mtawala
Kabila mwanaye akawa rais
Karume mwanae akawa rais
Mwinyi mwanae akawa rais hiyo ni mifano michache jinsi mama wa wenzako walivyo chagua wababa wapiganaji kwa familia zao

Wewe ndo madhara ya mama kuchagua baba uliye naye sasa busy 'JF kuangaika na watoto wa kina mahita
Mbowe mwenyewe chadema kapewa sebleni na baba mkwe wake mzee Mtei
Ushaur bro anza kuandaa maisha ya watoto wako usiwe kama baba ako kashindwa kukuandalia
Una stress [emoji706][emoji706][emoji706]
 
Kwani hao watoto hawapaswi kufata ndoto zao kupitia baba zao Mzee mlaumu mama ako kwa kukuchagulia baba jinga jinga ona sasa unaonea wivu baba wa wenzako
Bush mwanaye alikuwa rais huko USA
Kim Jong un babu yake alikuwa mtawala
Kabila mwanaye akawa rais
Karume mwanae akawa rais
Mwinyi mwanae akawa rais hiyo ni mifano michache jinsi mama wa wenzako walivyo chagua wababa wapiganaji kwa familia zao

Wewe ndo madhara ya mama kuchagua baba uliye naye sasa busy 'JF kuangaika na watoto wa kina mahita
Mbowe mwenyewe chadema kapewa sebleni na baba mkwe wake mzee Mtei
Ushaur bro anza kuandaa maisha ya watoto wako usiwe kama baba ako kashindwa kukuandalia
[emoji3][emoji3] kiongozi mbona povu lako halihusiani ma swali? Sema hata mimi sijaona mantiki ya swali lake lakini hata povu lako limeniacha nacheka tu.
 
Nazani ipo ruhusa kwa watoto wa polisi yeyote yule ambae amelitumikia au analitumikia jeshi kwa vizuri,basi watoto wake wanayo nafasi kubwa ya kuajiriwa bila ya pingamizi,mtoto mwenyewe tu ndie anaeamua kama anataka kufanya na kuajiriwa basi fursa ipo wazi.
Nadhani mtoa post hajapinga kuhusu hao watoto kuajiriwa polisi, ametaka kuwafahamu ila lengo la kuwafaham hajasema.
 
Pongezi kwao kwa kuweza kuwalea watoto wakaamini kwenye kile wanachoamini wao
Hata mimi nilipenda kufanya kazi aliyofanya baba yangu na naifurahia
Kazi ya kudhulumu haki za watu na kufurahia watu kunyanyaswa na upo comfortable,hongera aiseee
 
Mambo ya kawaida tu ukiwa kwenye system lazima utavuta kizazi chako kiingie kwenye system,advantage yao ni kwamba watoto wa wakubwa wanaingia kwenye system ki ulaini kuliko skins sie,
Hata US na UK ipo hivyo
Mzee George Bush,alikuwa Raisi wa marekani,mtoto wake akawa Raisi pia,mtoto wake mwingine Jebb Bush aligombea tiketi ya chama Ili agombee Uraisi akashindwa kwenye hatua za kwanza,lakini ni seneta mkubwa tu.
Marekani siyo Tozonia!
 
Kwani hao watoto hawapaswi kufata ndoto zao kupitia baba zao Mzee mlaumu mama ako kwa kukuchagulia baba jinga jinga ona sasa unaonea wivu baba wa wenzako
Bush mwanaye alikuwa rais huko USA
Kim Jong un babu yake alikuwa mtawala
Kabila mwanaye akawa rais
Karume mwanae akawa rais
Mwinyi mwanae akawa rais hiyo ni mifano michache jinsi mama wa wenzako walivyo chagua wababa wapiganaji kwa familia zao

Wewe ndo madhara ya mama kuchagua baba uliye naye sasa busy 'JF kuangaika na watoto wa kina mahita
Mbowe mwenyewe chadema kapewa sebleni na baba mkwe wake mzee Mtei
Ushaur bro anza kuandaa maisha ya watoto wako usiwe kama baba ako kashindwa kukuandalia
Kazi ya upolisi bongo ni ya watu waliofeli ndio maana weledi wao ni sifuri mkuu.
 
Mahita ana jumla ya watoto 17
Nje ya ndoa wapo 13
Nawajua ni maaskari ni watatu huyo Mahita Omary Mahita Inspector na ni Tiss pia
Abdul Omary Mahita marehemu
Fatuma Mahita ni daktari

Nyongeza
Sirro nae ana mtoto yupo polisi cheo cha Inspector alikua Ofisi ya mwanasheria mkuu muda huu kahamishiwa bandari

Mabeyo nae ana mtoto ni mjeshi pia cheo cha kanali

So utaona watoto wao wanavyopandishwa haraka haraka
Hao ni vijana wa Taifa hili. Kosa lao na Wazazi wao ni nini? Unless una uthibitisho hawana merits vinginevyo hii haipendezi kujadili.
 
Back
Top Bottom