Watoto wa IGP Mstaafu Omari Mahita walioajiriwa na Jeshi la Polisi Tanzania wako wangapi?

Kweli Mkuu ni vema tukawajua maana inaelekea wana tabia na sura kama ya Baba yao..
Namjua binti yake yupo US anafanya uchangudoa anaitwa Hidaya.
 
Kuna mmoja anaitwa Iddy anakula nchi toka kitambo akiwa St.marys wakiwa wanashindani kuja na hela class,naona sasa kao binti wa kiarabu anakula maini tu masaki.
 
Ukishangaa ya Mahita usisahau na vigogo wa CCM kuanzia mwenyekiti taifa mwenyewe kila kukicha wasipopeana ulaji wenyewe wanapewa watoto wao.
 
Ushauri mzuri, kwani mama anachagua ama mama ndiye anayemfanya ivyo mama jamani. Kwa kila maendeleo ya mwanaume mwanamke yupo nyuma yake ama nimesahau
 
Taasisi ya uma inapomilikiwa na kikundi cha mabwanyenye wachache na kufanya mali yao
 
Wewe baba yako kakuandalia nini? Stupid sod 🚮🚮🚮
 
Una stress [emoji706][emoji706][emoji706]
 
[emoji3][emoji3] kiongozi mbona povu lako halihusiani ma swali? Sema hata mimi sijaona mantiki ya swali lake lakini hata povu lako limeniacha nacheka tu.
 
Nadhani mtoa post hajapinga kuhusu hao watoto kuajiriwa polisi, ametaka kuwafahamu ila lengo la kuwafaham hajasema.
 
Pongezi kwao kwa kuweza kuwalea watoto wakaamini kwenye kile wanachoamini wao
Hata mimi nilipenda kufanya kazi aliyofanya baba yangu na naifurahia
Kazi ya kudhulumu haki za watu na kufurahia watu kunyanyaswa na upo comfortable,hongera aiseee
 
Marekani siyo Tozonia!
 
Kazi ya upolisi bongo ni ya watu waliofeli ndio maana weledi wao ni sifuri mkuu.
 
Hao ni vijana wa Taifa hili. Kosa lao na Wazazi wao ni nini? Unless una uthibitisho hawana merits vinginevyo hii haipendezi kujadili.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…