Basi Nenda
JF-Expert Member
- Jul 29, 2017
- 20,774
- 47,866
yule dingi alikua anachukua cash,sidhani kama ana fixed assets,hata maisha yake ya kawaida ila pesa anayoPiga talantalila Ila Kuna watu wanataka pia kujua location na asset za mahita kwa matumizi ya baadae.
Acha kudanganya wenzio, hii bongo kila mtu anatamani kufanya kazi Bot,Tra ila tatizo ni ufinyu wa Nafasi,Mkuu,amini usiamini polisi kuna pesa kuliko hata TRA, usifuate maneno ya wana JF humu,polisi ukiwa na cheo unapiga pesa mwezi hukosi 5m
hao wazee sio wajinga kupeleka vijana wao huko
Tujitahid kuongea vitu tuna ushaidi navyo , maana stori yangu nmeshindwa kuimeza mpk ss , kwamb ulikwepo kweny chumba cha matesa kuona komando alivyopotezwa?Inasikitisha sana kuwa Mahita Senior alitumia u IGP wake kuendesha/kufadhili vikundi vya kijambazi ili kujipatia mali na utajiri mkubwa alionao huku maisha ya wengine yakiangamia.
Leo Mahita junior naye anakuja kuwa mtesaji na muuaji kwa kutumia ofisi ya umma na kwa vile ni kada pia usishangae hivi karibuni ukasikia ni kiongozi huko polisi au hata IGP. Mbaya ni kuwa kaingia cha kike na kutesa makomandoo na kumpoteza mmoja wao, na hao sio Chadema walio zoea kuwatenda na yanaisha tuu.
Jee hii familia ya Mahita inatutafuta nini Watanzania
unahisi wote wanaridhika na huduma zake ?Kumbe ofisi ya mwanasheria mkuu kuna polisi pia? Kazi yake nini sasa?Bandarini ni sawa ila kwa mwanashetia mkuu sidhani
bado hujamwelewa huyo jamaa , insh siyo mshahara ila inshu ni michongo ya polisi ni mingi na inalipa vzr, TARGETSAcha kudanganya wenzio, hii bongo kila mtu anatamani kufanya kazi Bot,Tra ila tatizo ni ufinyu wa Nafasi,
Nakupa kazi linganisha Mpunga wa Kamishna wa Forodha na Ushuru wa bidhaa wa TRA na Makamishna wa Police wapi Kuna Pesa
Inaonekana hujasoma Ile Ripoti ya Warioba ya _The state and Corruption nenda kasome kidogo ndiyo utanielewa kwa Nini nimekuwa specifically Kwamba Forodha Wana Pesa kuliko kitengo chochote ndani ya Tanzania hii,bado hujamwelewa huyo jamaa , insh siyo mshahara ila inshu ni michongo ya polisi ni mingi na inalipa vzr, TARGETS
UchawiHili ni swali muhimu linalopaswa kujibiwa, Inafahamika kwamba miongoni mwa watoto hao wa Mahita yumo Mahita Omari ambaye sasa imefahamika kwamba amewekwa kwenye kundi la WATESAJI, au kwa jina la kisasa ni WATU WASIOJULIKANA, hatuna shida naye maana tayari ameanikwa hadharani na Mungu.
Swali ni hili , ni watoto wangapi wa Mahita mwenyewe ama viongozi wengine wa jeshi la polisi waliopewa ajira Polisi na yalivyo majukumu yao ? hatuna shida na njia walizotumia kupata ajira hiyo.
Natanguliza Shukrani .
Upo sahihi mkuuInaonekana hujasoma Ile Ripoti ya Warioba ya _The state and Corruption nenda kasome kidogo ndiyo utanielewa kwa Nini nimekuwa specifically Kwamba Forodha Wana Pesa kuliko kitengo chochote ndani ya Tanzania hii,
-Hao TRA -Forodha wanalipwa Pesa ndefu na wana Michongo,
- Forodha ndiyo kitengo kinachoongoza kwa Mapato ndani ya TRA unless kuwe na mabadiliko.
Kibongo bongo TRA,PORT wapo vizuri ila polisi huwa wanapiga hela sana wakienda UN kwahiyo polisi nayo si kazi yenye njaa sana kama watu wengi wanavyotuaminisha.Acha kudanganya wenzio, hii bongo kila mtu anatamani kufanya kazi Bot,Tra ila tatizo ni ufinyu wa Nafasi,
Nakupa kazi linganisha Mpunga wa Kamishna wa Forodha na Ushuru wa bidhaa wa TRA na Makamishna wa Police wapi Kuna Pesa
Ndio hivyo...Utarithi ulichokikuta labda itokee uwe 'outlier'....kama kuna mzazi mwalimu huenda kuna mtoto akawa mwl na hata kada zingine mambo yapo hivyo.
Mahita ana jumla ya watoto 17
Nje ya ndoa wapo 13
Nawajua ni maaskari ni watatu huyo Mahita Omary Mahita Inspector na ni Tiss pia
Abdul Omary Mahita marehemu
Fatuma Mahita ni daktari
Nyongeza
Sirro nae ana mtoto yupo polisi cheo cha Inspector alikua Ofisi ya mwanasheria mkuu muda huu kahamishiwa bandari
Mabeyo nae ana mtoto ni mjeshi pia cheo cha kanali
So utaona watoto wao wanavyopandishwa haraka haraka
Sio lazima iwe hivyo. Tutamkatisha tamaa mtoto wa mwijaku...mtoto wa mwalimu atakuwa mwalimu...wa dakitari naye atasomea udakitari...wa seremala naye atakuwa seremala...wa mwanajeshi naye atakuwa mjeshi .... je pana uhalisia?
Duh jamaa!!!?Mahita ana jumla ya watoto 17
Nje ya ndoa wapo 13
Nawajua ni maaskari ni watatu huyo Mahita Omary Mahita Inspector na ni Tiss pia
Abdul Omary Mahita marehemu
Fatuma Mahita ni daktari
Nyongeza
Sirro nae ana mtoto yupo polisi cheo cha Inspector alikua Ofisi ya mwanasheria mkuu muda huu kahamishiwa bandari
Mabeyo nae ana mtoto ni mjeshi pia cheo cha kanali
So utaona watoto wao wanavyopandishwa haraka haraka
Usipende kufuatilia ya Watu angalia mambo yakoHili ni swali muhimu linalopaswa kujibiwa, Inafahamika kwamba miongoni mwa watoto hao wa Mahita yumo Mahita Omari ambaye sasa imefahamika kwamba amewekwa kwenye kundi la WATESAJI, au kwa jina la kisasa ni WATU WASIOJULIKANA, hatuna shida naye maana tayari ameanikwa hadharani na Mungu.
Swali ni hili , ni watoto wangapi wa Mahita mwenyewe ama viongozi wengine wa jeshi la polisi waliopewa ajira Polisi na yalivyo majukumu yao ? hatuna shida na njia walizotumia kupata ajira hiyo.
Natanguliza Shukrani .
Forodha kwa kingereza ni nini?Inaonekana hujasoma Ile Ripoti ya Warioba ya _The state and Corruption nenda kasome kidogo ndiyo utanielewa kwa Nini nimekuwa specifically Kwamba Forodha Wana Pesa kuliko kitengo chochote ndani ya Tanzania hii,
-Hao TRA -Forodha wanalipwa Pesa ndefu na wana Michongo,
- Forodha ndiyo kitengo kinachoongoza kwa Mapato ndani ya TRA unless kuwe na mabadiliko.
Ofcoz kubebwa kupo sema wamejitahidi kubebeka yaan wanasifa stahiki hata kama inawezekana hawakushindana na wenye sifa wenzaolabda kama hawana sifa,utakuwa na hoja.
ndio maana kwa kuzingatia sifa kati ya watoto 17 wa mahita ni watatu polisi,mmoja dactary,kwa mabeyo pia ni hivyo hawakubebwa bebwa tu.
lakini kingine,nyinyi ndio wale watu mnatoboa,ndugu jamaa na washkaji wakiomba tobo watusue mnabana,msamiati masihi wa kitaa kwenu haufanyi kazi kabisa hata kama watu wanazo sifa.
Boss,mimi nafahamu ninachoongea,siwezi kulinganisha na watu wa forodha kwa sababu sipo huko, sio kweli ulichosema kila mtu anatamani kufanya kazi BOT na TRA,ingekuwa hivo basi hawa jamaa waliotajwa humu wote wana elimu wangeshapelekwa huko na wazazi waoAcha kudanganya wenzio, hii bongo kila mtu anatamani kufanya kazi Bot,Tra ila tatizo ni ufinyu wa Nafasi,
Nakupa kazi linganisha Mpunga wa Kamishna wa Forodha na Ushuru wa bidhaa wa TRA na Makamishna wa Police wapi Kuna Pesa
hawa jamaa wanabisha tu kwakua wanaonaga wale polisi wa vyeo vya chini wana njaa, traffic wana pesa sana na majumba makubwa wao wanapata saa nyingine mshahara wao wote ndani ya nusu saa tu kwa ma deal wale,unapiga laki 9 mchana,asubuhi ulipiga laki,bado kesho tenaKibongo bongo TRA,PORT wapo vizuri ila polisi huwa wanapiga hela sana wakienda UN kwahiyo polisi nayo si kazi yenye njaa sana kama watu wengi wanavyotuaminisha.
-Hayo magari na magorofa si kitu cha kawaida Sana kwa Maafisa wa BoT, TRA Tena maafisa wa kawaida tuBoss,mimi nafahamu ninachoongea,siwezi kulinganisha na watu wa forodha kwa sababu sipo huko, sio kweli ulichosema kila mtu anatamani kufanya kazi BOT na TRA,ingekuwa hivo basi hawa jamaa waliotajwa humu wote wana elimu wangeshapelekwa huko na wazazi wao
hoja yangu ulikuwa kwamba police ukiwa na cheo unapiga pesa kuliko watu wengi wanavoamini humu JF kwamba ni kazi duni,watu wana ma ghorofa na magari mengi kwa kazi hiyo tunayoidharau humu,japo ni wapiga ma deal