Watoto wa IGP Mstaafu Omari Mahita walioajiriwa na Jeshi la Polisi Tanzania wako wangapi?

Watoto wa IGP Mstaafu Omari Mahita walioajiriwa na Jeshi la Polisi Tanzania wako wangapi?

Piga talantalila Ila Kuna watu wanataka pia kujua location na asset za mahita kwa matumizi ya baadae.
yule dingi alikua anachukua cash,sidhani kama ana fixed assets,hata maisha yake ya kawaida ila pesa anayo
 
Mkuu,amini usiamini polisi kuna pesa kuliko hata TRA, usifuate maneno ya wana JF humu,polisi ukiwa na cheo unapiga pesa mwezi hukosi 5m
hao wazee sio wajinga kupeleka vijana wao huko
Acha kudanganya wenzio, hii bongo kila mtu anatamani kufanya kazi Bot,Tra ila tatizo ni ufinyu wa Nafasi,
Nakupa kazi linganisha Mpunga wa Kamishna wa Forodha na Ushuru wa bidhaa wa TRA na Makamishna wa Police wapi Kuna Pesa
 
Inasikitisha sana kuwa Mahita Senior alitumia u IGP wake kuendesha/kufadhili vikundi vya kijambazi ili kujipatia mali na utajiri mkubwa alionao huku maisha ya wengine yakiangamia.
Leo Mahita junior naye anakuja kuwa mtesaji na muuaji kwa kutumia ofisi ya umma na kwa vile ni kada pia usishangae hivi karibuni ukasikia ni kiongozi huko polisi au hata IGP. Mbaya ni kuwa kaingia cha kike na kutesa makomandoo na kumpoteza mmoja wao, na hao sio Chadema walio zoea kuwatenda na yanaisha tuu.
Jee hii familia ya Mahita inatutafuta nini Watanzania
Tujitahid kuongea vitu tuna ushaidi navyo , maana stori yangu nmeshindwa kuimeza mpk ss , kwamb ulikwepo kweny chumba cha matesa kuona komando alivyopotezwa?
 
Acha kudanganya wenzio, hii bongo kila mtu anatamani kufanya kazi Bot,Tra ila tatizo ni ufinyu wa Nafasi,
Nakupa kazi linganisha Mpunga wa Kamishna wa Forodha na Ushuru wa bidhaa wa TRA na Makamishna wa Police wapi Kuna Pesa
bado hujamwelewa huyo jamaa , insh siyo mshahara ila inshu ni michongo ya polisi ni mingi na inalipa vzr, TARGETS
 
bado hujamwelewa huyo jamaa , insh siyo mshahara ila inshu ni michongo ya polisi ni mingi na inalipa vzr, TARGETS
Inaonekana hujasoma Ile Ripoti ya Warioba ya _The state and Corruption nenda kasome kidogo ndiyo utanielewa kwa Nini nimekuwa specifically Kwamba Forodha Wana Pesa kuliko kitengo chochote ndani ya Tanzania hii,
-Hao TRA -Forodha wanalipwa Pesa ndefu na wana Michongo,
- Forodha ndiyo kitengo kinachoongoza kwa Mapato ndani ya TRA unless kuwe na mabadiliko.
 
Hili ni swali muhimu linalopaswa kujibiwa, Inafahamika kwamba miongoni mwa watoto hao wa Mahita yumo Mahita Omari ambaye sasa imefahamika kwamba amewekwa kwenye kundi la WATESAJI, au kwa jina la kisasa ni WATU WASIOJULIKANA, hatuna shida naye maana tayari ameanikwa hadharani na Mungu.

Swali ni hili , ni watoto wangapi wa Mahita mwenyewe ama viongozi wengine wa jeshi la polisi waliopewa ajira Polisi na yalivyo majukumu yao ? hatuna shida na njia walizotumia kupata ajira hiyo.

Natanguliza Shukrani .
Uchawi
 
Inaonekana hujasoma Ile Ripoti ya Warioba ya _The state and Corruption nenda kasome kidogo ndiyo utanielewa kwa Nini nimekuwa specifically Kwamba Forodha Wana Pesa kuliko kitengo chochote ndani ya Tanzania hii,
-Hao TRA -Forodha wanalipwa Pesa ndefu na wana Michongo,
- Forodha ndiyo kitengo kinachoongoza kwa Mapato ndani ya TRA unless kuwe na mabadiliko.
Upo sahihi mkuu
 
Acha kudanganya wenzio, hii bongo kila mtu anatamani kufanya kazi Bot,Tra ila tatizo ni ufinyu wa Nafasi,
Nakupa kazi linganisha Mpunga wa Kamishna wa Forodha na Ushuru wa bidhaa wa TRA na Makamishna wa Police wapi Kuna Pesa
Kibongo bongo TRA,PORT wapo vizuri ila polisi huwa wanapiga hela sana wakienda UN kwahiyo polisi nayo si kazi yenye njaa sana kama watu wengi wanavyotuaminisha.
 
Mahita ana jumla ya watoto 17
Nje ya ndoa wapo 13
Nawajua ni maaskari ni watatu huyo Mahita Omary Mahita Inspector na ni Tiss pia
Abdul Omary Mahita marehemu
Fatuma Mahita ni daktari

Nyongeza
Sirro nae ana mtoto yupo polisi cheo cha Inspector alikua Ofisi ya mwanasheria mkuu muda huu kahamishiwa bandari

Mabeyo nae ana mtoto ni mjeshi pia cheo cha kanali

So utaona watoto wao wanavyopandishwa haraka haraka

Mwamunyange je nae ana mtoto mjeshi?
 
..mtoto wa mwalimu atakuwa mwalimu...wa dakitari naye atasomea udakitari...wa seremala naye atakuwa seremala...wa mwanajeshi naye atakuwa mjeshi .... je pana uhalisia?
Sio lazima iwe hivyo. Tutamkatisha tamaa mtoto wa mwijaku.
 
Mahita ana jumla ya watoto 17
Nje ya ndoa wapo 13
Nawajua ni maaskari ni watatu huyo Mahita Omary Mahita Inspector na ni Tiss pia
Abdul Omary Mahita marehemu
Fatuma Mahita ni daktari

Nyongeza
Sirro nae ana mtoto yupo polisi cheo cha Inspector alikua Ofisi ya mwanasheria mkuu muda huu kahamishiwa bandari

Mabeyo nae ana mtoto ni mjeshi pia cheo cha kanali

So utaona watoto wao wanavyopandishwa haraka haraka
Duh jamaa!!!?
 
Hili ni swali muhimu linalopaswa kujibiwa, Inafahamika kwamba miongoni mwa watoto hao wa Mahita yumo Mahita Omari ambaye sasa imefahamika kwamba amewekwa kwenye kundi la WATESAJI, au kwa jina la kisasa ni WATU WASIOJULIKANA, hatuna shida naye maana tayari ameanikwa hadharani na Mungu.

Swali ni hili , ni watoto wangapi wa Mahita mwenyewe ama viongozi wengine wa jeshi la polisi waliopewa ajira Polisi na yalivyo majukumu yao ? hatuna shida na njia walizotumia kupata ajira hiyo.

Natanguliza Shukrani .
Usipende kufuatilia ya Watu angalia mambo yako
 
Inaonekana hujasoma Ile Ripoti ya Warioba ya _The state and Corruption nenda kasome kidogo ndiyo utanielewa kwa Nini nimekuwa specifically Kwamba Forodha Wana Pesa kuliko kitengo chochote ndani ya Tanzania hii,
-Hao TRA -Forodha wanalipwa Pesa ndefu na wana Michongo,
- Forodha ndiyo kitengo kinachoongoza kwa Mapato ndani ya TRA unless kuwe na mabadiliko.
Forodha kwa kingereza ni nini?
 
labda kama hawana sifa,utakuwa na hoja.

ndio maana kwa kuzingatia sifa kati ya watoto 17 wa mahita ni watatu polisi,mmoja dactary,kwa mabeyo pia ni hivyo hawakubebwa bebwa tu.

lakini kingine,nyinyi ndio wale watu mnatoboa,ndugu jamaa na washkaji wakiomba tobo watusue mnabana,msamiati masihi wa kitaa kwenu haufanyi kazi kabisa hata kama watu wanazo sifa.
Ofcoz kubebwa kupo sema wamejitahidi kubebeka yaan wanasifa stahiki hata kama inawezekana hawakushindana na wenye sifa wenzao
 
Acha kudanganya wenzio, hii bongo kila mtu anatamani kufanya kazi Bot,Tra ila tatizo ni ufinyu wa Nafasi,
Nakupa kazi linganisha Mpunga wa Kamishna wa Forodha na Ushuru wa bidhaa wa TRA na Makamishna wa Police wapi Kuna Pesa
Boss,mimi nafahamu ninachoongea,siwezi kulinganisha na watu wa forodha kwa sababu sipo huko, sio kweli ulichosema kila mtu anatamani kufanya kazi BOT na TRA,ingekuwa hivo basi hawa jamaa waliotajwa humu wote wana elimu wangeshapelekwa huko na wazazi wao
hoja yangu ulikuwa kwamba police ukiwa na cheo unapiga pesa kuliko watu wengi wanavoamini humu JF kwamba ni kazi duni,watu wana ma ghorofa na magari mengi kwa kazi hiyo tunayoidharau humu,japo ni wapiga ma deal
 
Kibongo bongo TRA,PORT wapo vizuri ila polisi huwa wanapiga hela sana wakienda UN kwahiyo polisi nayo si kazi yenye njaa sana kama watu wengi wanavyotuaminisha.
hawa jamaa wanabisha tu kwakua wanaonaga wale polisi wa vyeo vya chini wana njaa, traffic wana pesa sana na majumba makubwa wao wanapata saa nyingine mshahara wao wote ndani ya nusu saa tu kwa ma deal wale,unapiga laki 9 mchana,asubuhi ulipiga laki,bado kesho tena
 
Boss,mimi nafahamu ninachoongea,siwezi kulinganisha na watu wa forodha kwa sababu sipo huko, sio kweli ulichosema kila mtu anatamani kufanya kazi BOT na TRA,ingekuwa hivo basi hawa jamaa waliotajwa humu wote wana elimu wangeshapelekwa huko na wazazi wao
hoja yangu ulikuwa kwamba police ukiwa na cheo unapiga pesa kuliko watu wengi wanavoamini humu JF kwamba ni kazi duni,watu wana ma ghorofa na magari mengi kwa kazi hiyo tunayoidharau humu,japo ni wapiga ma deal
-Hayo magari na magorofa si kitu cha kawaida Sana kwa Maafisa wa BoT, TRA Tena maafisa wa kawaida tu
- Forodha ndiyo miongoni mwa engine ya uchumi wa nchi
 
Back
Top Bottom