Watoto wa kike sie raha yetu pesa bwana ufundi pelekeni VETA

Mwanamke ameumbiwa kupewa na kupokea (tunapewa sperm tunapewa mimba n.k) lakini hamsemi hivi kama ni kitonga only pesa why?
kuhudumiwa utaudumiwa kwa mume wako.sio kutoa toa papuchi kwa tamaa ya ela kila mwanaume.utakuta binti mdogo lakini muonekano kama ana miaka hamsini .kujizeesha na dushulee za kila namna
 
Uko sawa, nasi tuna sema kuku akila mchele tunamuacha maana na yeye tutamla kwenye wali!!
 
kuhudumiwa utaudumiwa kwa mume wako.sio kutoa toa papuchi kwa tamaa ya ela kila mwanaume.utakuta binti mdogo lakini muonekano kama ana miaka hamsini .kujizeesha na dushulee za kila namna
Mtoa post hajasema kama atatoa kwa kila mwanaume labda kama sijamuelewa vzr, ila ndo mtafute pesa maana pesa inaheshima yake hata kwenye ndoa
 
Pesa ndo kila kitu kama huna pesa toboa ukuta wako chumban then jihudumie uone kama kuna ratha,pyt
 
Sio watoto wa kike wote, ni wewe ndio mwenye mtazamo huo, na inaelekea hujawah kuwa na bwana mwenye pesa ndio maana unalopoka. Nakushauli kawaulize walio fuata pesa kwa wanaume yaliwakuta yapi? Sio unatomboka tomboka tu.
unakutana na neema huko .. pesa tamu bwana
 


Mhmh.! kuwa Pesa pekee haitoshi, Pesa umpate mhudumiaji anayekupenda na kukujali Sio Pesa hadi mvutane vutane weeeeee ndio itokee tena anaitoa kwa shingo upande
 
Kosa pesa ujue tabia ya mkeo..PESA NDO KILA KITU
 
Mhmh.! kuwa Pesa pekee haitoshi, Pesa umpate mhudumiaji anayekupenda na kukujali Sio Pesa hadi mvutane vutane weeeeee ndio itokee tena anaitoa kwa shingo upande
Ukiona mwanaume ana pesa alafu kukupa ni mpaka mvutane wee ujue Huyo ni mchoyo
 
hayo yote mareeefu mleta mada umesumbuka kuandika - ni neno moja tu ungesema tungekuelewa wewe ni vipi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…