Acheni kumshambulia mwenzenu, ni maono na malengo yake ya maisha, mbona nyie mnatoa vigezo vyenu vya ki Malaika hamtukanwi? Ukweli ni kuwa PESA inashika wadada wengi sana kama sio wote, hadi wake za watu kama mkeo unampa pesa za mboga tu akipata wa kumpa pesa za matumizi ataku cheat tu hakuna namna, PESA ni sabuni ya roho si kwa wanawake tu Sikh hizi hata kwa wanaume "Marioo" mjini wanaongezeka kila uchwao nani asiyeijua Couple iliyowahi Ku bamba ya Jafarai v/s Mbunge wa Afrika Mashariki !? Ni pesa tu pesa pesa pesa inaondoa uchafu na ubaya wa mtu woote alionao