richaabra
JF-Expert Member
- Jul 12, 2016
- 1,472
- 3,511
Mhhhh asikwambie mtu,sie watoto wa kike tunapenda mwanaume mwenye pesa bwana....hata akiwa wa mkoa,tutavumiliana[emoji108] Upoo
We nyanyua vyuma ukawe mlinzi babu ee[emoji108] ,Skuizi hatuvutiwi na chest hizo, skuizi tunaangalia mfuko, hata unuke mdomo na kikwapa kama wanaume wa mkoa tutavumiliana babu eeeeee[emoji108] ,ili mradi pesa iwepo
Yani utakuta mwanaume hela hana, basi tuje sita kwa sita.....eeeh napo majanga
Lakini ukiwa na pesa lazima tuvumiliane babu eeeee[emoji108] [emoji108] [emoji108] [emoji108]
We nyanyua vyuma ukawe mlinzi babu ee[emoji108] ,Skuizi hatuvutiwi na chest hizo, skuizi tunaangalia mfuko, hata unuke mdomo na kikwapa kama wanaume wa mkoa tutavumiliana babu eeeeee[emoji108] ,ili mradi pesa iwepo
Yani utakuta mwanaume hela hana, basi tuje sita kwa sita.....eeeh napo majanga
Lakini ukiwa na pesa lazima tuvumiliane babu eeeee[emoji108] [emoji108] [emoji108] [emoji108]