Ricky Blair
JF-Expert Member
- Mar 13, 2023
- 463
- 1,009
Unajua nimenotice from a personal perspective kutoka marafiki, ndugu hata watu wengine kwamba wanapata watoto wa kike sana kwa rate kubwa kuliko wa kiume yaani kama 60 to 70% ratio compare to boys.
Na pia Tanzania kama unavyoona kwa map hapo rangi ya bluu ni moja ya nchi yenye wanawake wengi kuliko wanaume which is kama the global rate 52% to 48% but naona Tanzania kama inaelekea kwa 60% kuna mtu naye kanotice hii kitu?
Na pia Tanzania kama unavyoona kwa map hapo rangi ya bluu ni moja ya nchi yenye wanawake wengi kuliko wanaume which is kama the global rate 52% to 48% but naona Tanzania kama inaelekea kwa 60% kuna mtu naye kanotice hii kitu?