[emoji16][emoji16][emoji16] umekosea mkuuhahahahaaa bs ww lazma unakaubonge fln hv[emoji28]
[emoji23][emoji23][emoji23] yani ilikua ni noma sana aisee....kucha zilikua zinapona within three days tu tena kwa mchanga......kwenye magoli mmejaza viatu na mabegi kibaoHapo pensi umeifungia kamba ya kiatu, mfukoni una goroli mbili, hapo mpira unauliga kwa Ndore/Dole gumba hadi kucha linangoka upaka mchanga habar kwisha.
Fainali ni kutoa njunja/Funza vidolenj
hahahahaaa we ulikua wakishua mwanangu na hapo lazma mpira unaozungumzia ni gozi,,,,, mana hii ya makaratasi ilikua haiitaji idadi ya wachezaji ndani....hata mkiwa 30 mnakipiga tu[emoji16]Mi nilikuwa nikija na mpira wenyewe tukiita "sembo" lazima nicheze mwanzo mwisho, nikitolewa tu natambaa na mpira wangu mechi inaisha!
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Mi nilikuwa nikija na mpira wenyewe tukiita "sembo" lazima nicheze mwanzo mwisho, nikitolewa tu natambaa na mpira wangu mechi inaisha!
kweli kabisa....yani wa viatu tulikua tunaogopa kuwakaba sasa sheria ni kuvua woote........!!! sasa hapo mi nilikua navua nabaki na zile soksi zangu za pundamiliaMnapanga mstari, kisha wababe wawili kila upande anaanza kuita kwa zamu mchezaji anayemtaka timu yake, baada ya hapo, sheria ya kwwnza, hamna kuvaa viatu.
Wa kishua akija na gozi hata kama hajui mpira lazima apangwe.hahahahaaa we ulikua wakishua mwanangu na hapo lazma mpira unaozungumzia ni gozi,,,,, mana hii ya makaratasi ilikua haiitaji idadi ya wachezaji ndani....hata mkiwa 30 mnakipiga tu[emoji16]