Magical power
JF-Expert Member
- Sep 27, 2022
- 2,158
- 5,626
Tuache utani asee.... nilikula maharage yaliyochacha enzi nikiwa chaliiau wakijaribu kula wataharisha siku 5 mfulululuzo
MuLe mule yaanπππ€Hapo miguu yote ya kuku na viazi vinarud kwanye karai yataongezwa maji mboga tayarii kwa matumizi.
Utumbo hautupwisi umebaki bado kwenye sufuria humu au mnataka kutulisha uchafu tu kwa kuokota iliyomwagika!,ya kwenye sufuria kama haitoshi kanunie mchicha pika chapchap tunakula!.. uswahili ukizidi mtakujaga kutuua!..π
Mapema apoπ Hapo kila kitu kinarudi jikoni.
Ulikua unakunya sanaπππTuache utani asee.... nilikula maharage yaliyochacha enzi nikiwa chalii
nilikimbiza mwenge kama sina break acha kabisa. picha lilianzia class kama utani utani ikapidi
niweke kambi chooni. sio poa asee unaharisha hadi unalewa na kuona giza
πππDaaah kidogo nyama nazo zimwagike, bora umemwagika mchuzi tu tutaongeza maji.
Kipindu pindu hicho.Tuache utani asee.... nilikula maharage yaliyochacha enzi nikiwa chalii
nilikimbiza mwenge kama sina break acha kabisa. picha lilianzia class kama utani utani ikapidi
niweke kambi chooni. sio poa asee unaharisha hadi unalewa na kuona giza