Watoto wa Masaki

si umebaki bado kwenye sufuria humu au mnataka kutulisha uchafu tu kwa kuokota iliyomwagika!,ya kwenye sufuria kama haitoshi kanunie mchicha pika chapchap tunakula!.. uswahili ukizidi mtakujaga kutuua!..πŸ˜…
 
si umebaki bado kwenye sufuria humu au mnataka kutulisha uchafu tu kwa kuokota iliyomwagika!,ya kwenye sufuria kama haitoshi kanunie mchicha pika chapchap tunakula!.. uswahili ukizidi mtakujaga kutuua!..πŸ˜…
Utumbo hautupwi
 
Tuache utani asee.... nilikula maharage yaliyochacha enzi nikiwa chalii
nilikimbiza mwenge kama sina break acha kabisa. picha lilianzia class kama utani utani ikapidi
niweke kambi chooni. sio poa asee unaharisha hadi unalewa na kuona giza
Ulikua unakunya sanaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Daaah kidogo nyama nazo zimwagike, bora umemwagika mchuzi tu tutaongeza maji.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…