Watoto wa 'Mcharo' wapo vizuri hatari, waongoza matokeo Kidato cha Nne

Watoto wa 'Mcharo' wapo vizuri hatari, waongoza matokeo Kidato cha Nne

Nimeangalia Matokeo yao ni kweli wamepata G.P.A za 5.0 kila mmoja,wote wamepata A 7 na B tatu,wametofautiana katika B,mmoja(Angel) kapata B ya B/Knowledge na Mwingine(Jenifa) Kapata B ya B/Maths,Masomo mengine yote nane wamepata Alama Sawa.Hongera sana Familia ya Mcharo.
View attachment 226878
Lakini siyo Mcharo wa hawa wachovu anayesemwa amekuwa mtamu!! Huyu wa kwake ni mabinti, yule la kwake ni li-vulana (jambazi)!!
 
Hongera zao wakaze wazidi kusonga na kufikia malengo yao
 
Airtel walikuwa wanajua mcharo anasomesha boarding na kweli wamepiga G😛:A za 5.
 
Maisha si rahisi kama watu wadhaniavyo.
Miaka Kumi ijayo tutajua
 
Back
Top Bottom