Lakini siyo Mcharo wa hawa wachovu anayesemwa amekuwa mtamu!! Huyu wa kwake ni mabinti, yule la kwake ni li-vulana (jambazi)!!Nimeangalia Matokeo yao ni kweli wamepata G.P.A za 5.0 kila mmoja,wote wamepata A 7 na B tatu,wametofautiana katika B,mmoja(Angel) kapata B ya B/Knowledge na Mwingine(Jenifa) Kapata B ya B/Maths,Masomo mengine yote nane wamepata Alama Sawa.Hongera sana Familia ya Mcharo.
View attachment 226878
Airtel walikuwa wanajua mcharo anasomesha boarding na kweli wamepiga G😛:A za 5.
hakuna uhusiano, lkn hawo watoto ajira nje nje vodacom
Jay million ana mbwembwe nyingiii huku mitoto yake vilaza. Big up Mcharo, unaendelea kuwa mtamu.
Shell ya BP, Shell ya Total! Kwa kweli kazi ipo, kwamba One ya distinction! Anyway, tutakujaga kuelewa tu!!
Lakini siyo Mcharo wa hawa wachovu anayesemwa amekuwa mtamu!! Huyu wa kwake ni mabinti, yule la kwake ni li-vulana (jambazi)!!