DOKEZO Watoto wa Mitaani Mbeya wanajihusisha na matukio ya uhalifu, wanaanza kuwa tishio, Serikali itatue kabla hali haijawa mbaya

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Mlikua mnawacheka wakazi wa Dar na Panya rd!
 
Si wa mikoani mnawacheka wanaume wa Dar sasa imekuwaje tena mnaanza kulialia?
 
Huko Mbeya si ndio kuna gereza la watoto la maadilisho kule Irambo, Mbeya Vijijini. Je limeacha kufanya KAZI?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…