Erick zeph Stanley
JF-Expert Member
- Apr 25, 2013
- 647
- 72
Mkuu hao wote wawili wanasubiria posta za FormV zitoke sababu zimechelewa, Pia naomba kwa mwenye link ya NECTA aweke tuone matokeo yao baada ya uchakataji.
Ningepata kaupenyo ninge kagonga kale kadogo kamenonaje,kanaonekana wazi wazi kua katamuuuu
Kumbe OPERA MIN nalo ni jina duu ukistajabu ya Musa utayaona ya Firauni
Mkuu hao wote wawili wanasubiria posta za FormV zitoke sababu zimechelewa, Pia naomba kwa mwenye link ya NECTA aweke tuone matokeo yao baada ya uchakataji.
Hawa watoto wa obama siwaelewi, wanasoma au ni vilaza, mana muda wote wanapiga trip na baba yao. Au walifeli form 4