Watoto wa P Diddy

Umkubali vip wakati kipindi hicho alikua chawa wa big
Mkuu did hakuwahi kuwa chawa wa BIG hebu angaliaa kuna Mtv base Wana muinterview pac anasema wakija kidrama kiroho na wakija kishali tunaweza zaid yao .

B.I.G notorious I can't say much ila nae ni victim.
 
Ni hali ya hewa, camer kali, vipodizi au vyakula...
Pisi za kimarekani huwa zinavutia na zenye ngozi nyororo mno. Hata pisi yenye sura ya baba basi huwa ngozi nyororo isiyo na hata chunusi, nywele nzuri safi za kuvutia.

Tofauti na pisi za bongo, pamoja na kutumia filter ila bado muonekano huwa si wa kuvutia na ngozi huwa kuukuu.
 
Subiri atoke MDC .. upate kadi ya kwenda kwenye party za Diddy 😅
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…