Mkuu did hakuwahi kuwa chawa wa BIG hebu angaliaa kuna Mtv base Wana muinterview pac anasema wakija kidrama kiroho na wakija kishali tunaweza zaid yao .Umkubali vip wakati kipindi hicho alikua chawa wa big
Mwamba tumeuimba sana mziki wake sema ndo hivyo ingawa ni mzee wa kutifua topeUnamkubali mzee wa hizi kazi
Oyaa mzee baba nipo mwanawane. NipangeWe Mzee upo?
Uzuri wanawake mkitupiga huwa mnajua kabisa,sema huku kwetu mnajificha kwenye msemo wa kitanda hakizai haramu, lakini huku ukweli wote mnaujua kabisa!!Hao mablack weusi 2 ni copy ila hao mashombeshombe amepigwaa
Casie aliingia kwa chimbo la muhuniDiddy ni Rais wa wakataa ndoa, Kasie alivumilia akijua ataolewa mwisho akatoka nduki.
Subiri atoke MDC .. upate kadi ya kwenda kwenye party za Diddy 😅Huyo mtoto wa kiume aliyekaa nyuma ya dada ake afu kamuwekea mkono mgongoni, pembeni ya P diddy,
Mwenye no yakee anipatie, Diddy ana kijana handsome hivyo afu hamsemi, aaaaah mnaniangushaa bhanaa.
Huyo kijana nikimpataa nampa ladha ya kienyeji hadi azamie kuishi Bongo, kigezo ni kuwekeza, jamaa yuko vyedi hadi nyapu inatoa maji maji.
Uwiiiiiiih