Watoto wa P Diddy

Watoto wa P Diddy

Mkuki huwa kwa kitimoto tu kwa binadamu mchungu
Umejuaje huo ni mkuki na si mpapaso tu?

Nimegundua hawa watu tunajifanya tunawajua, wakati hatuwajui, maisha yao hatuyajui, tunapata kilicho kwenye media tu.

Some of the things these people do and like are very strange and some of us will never understand that.

Kwa hivyo, usifikirie tu unavyoyaona maisha wewe ni sawa na hawa.

Nimeangalia tu mambo kama ushoga, kubadilisha gender na vitu vinavyoonekana vituko kwenye jamii yetu kwa ma celebrities wa US ni kawaida sana.

It's almost like washaishi sana haya maisha yetu ya kawaida sasa wamekuwa bored wanatafuta vitu ambavyo sisi tunaona vituko.

Na mtu kama huyo, kumuweka kwenye box lako unaweza kuwa unamkosea sana.
 
Yule Bibie fala kweli alikuwa anapenda dushe za blacks ila hakutaka kuzaa na blacks asilani....

Kuna maneno alishawahi kutamka kuwa

'' Better having kids with Latin or white dude...not to a black one''

There after, akaja kuzaa na Mark Anthony wale mapacha....Max & Emme
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kale kadangaji kalikuwa kameweka mtego kaolewe halafu kazae kisha kaanze kudai child support.

50Cent anasumbuliwa sana. Marekani ukiwa na pesa usijekosea ukaoa. Wanasheria kali sana za kutetea wasimbe na mafeminists. Dawa ni kuwakalia mbali. Ndio maana jamaa wanatafuna mashoga zaidi maana hawawaletei mambo ya kutega mimba au kudai child support.

Sent from my JKM-LX1 using JamiiForums mobile app
Kwahyo mashoga wanakua mbadala wa wanawake kutegesha mimba mmmmh.

Umenikumbushaa vanga la Kanye West na James Charles.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yule shoga kibokoo kamchuna na kawekeza kwenye fashion.
 
Ajiweke tu wazi sisi hatuna tatizo nae, na aache kutuponda kwa kuhisi tunamzibia riziki.

Asijibane bane, nchi hii ilipata uhuru mwaka 1961 [emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mwanamke ambaye Diddy alimpenda ni Kim Porter. Alizaa naye watoto 3 kati ya hao kama sikosei

Kim Porter alikufa mwaka 2018, Diddy aliomboleza kifo chake miezi 3

Kwenye interviews zake huwa anamtaja sana jinsi anammiss na kumkumbuka

Hao akina J.Lo na Cassie ni zile tu tamaa zetu wanaume za kuonja onja mbususu tofauti tofauti
Wawili mapacha
 
Kale kadangaji kalikuwa kameweka mtego kaolewe halafu kazae kisha kaanze kudai child support.

50Cent anasumbuliwa sana. Marekani ukiwa na pesa usijekosea ukaoa. Wanasheria kali sana za kutetea wasimbe na mafeminists. Dawa ni kuwakalia mbali. Ndio maana jamaa wanatafuna mashoga zaidi maana hawawaletei mambo ya kutega mimba au kudai child support.

Sent from my JKM-LX1 using JamiiForums mobile app
[emoji1787][emoji1][emoji1787][emoji1]et wasimbe na mafeminist
 
Kwahyo mashoga wanakua mbadala wa wanawake kutegesha mimba mmmmh.

Umenikumbushaa vanga la Kanye West na James Charles.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yule shoga kibokoo kamchuna na kawekeza kwenye fashion.
Kanye aliwahi kudate shoga?? Ni kipindi Gani? Kabla ya kuwa na Kim ama baada ya kuachana
 
Kanye aliwahi kudate shoga?? Ni kipindi Gani? Kabla ya kuwa na Kim ama baada ya kuachana
Km sio mfuatiliaji huwezi elewa, kipindi yuko na Kim, alikua ana date nae kimya kimya, baada ya kumdump ndo james akaenda LGBT kushitaki, na case ilifka had UN, alilipishwa kimya kimya Kanye, but alikataa hakuwahi date nae.

James Akaamua kuwekeza kwenye fashion.
 
Km sio mfuatiliaji huwezi elewa, kipindi yuko na Kim, alikua ana date nae kimya kimya, baada ya kumdump ndo james akaenda LGBT kushitaki, na case ilifka had UN, alilipishwa kimya kimya Kanye, but alikataa hakuwahi date nae.

James Akaamua kuwekeza kwenye fashion.
UN isikilize case ya mtu kufirwa embu kawadanganye wapuuzi wenzako mkiwa mnafirana
 
Pamoja mkuu,tangu anamiliki badboy rec label huku akimfuga rapper bora dunia B.I.G NOTORIOUS...
Huku akiendelea kupiga pesa kupitia publishing rights za Mase ambaye kila kukicha anapambana haki yake irudi mikononi mwake.
 
UN isikilize case ya mtu kufirwa embu kawadanganye wapuuzi wenzako mkiwa mnafirana
Una habari UN kuna kitengo cha LGBT? na kuna wawakilishi huko? Na huyo James ni m1 wapooo.

Nidanganye iwejee?? James mwenyewe hata humjui.

Mbna unateseka sana, kila comment angu lazima u reply, hujui kukataliwa wee. Poleeeeeeeh

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23], mambo yamekuzidi akili.
 
Una habari UN kuna kitengo cha LGBT? na kuna wawakilishi huko? Na huyo James ni m1 wapooo.

Nidanganye iwejee?? James mwenyewe hata humjui.

Mbna unateseka sana, kila comment angu lazima u reply, hujui kukataliwa wee. Poleeeeeeeh

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23], mambo yamekuzidi akili.
Watu hawajui ila wanabisha tu,hapo ukimuulza hata website za UN hazijui halafu analeta ujuaji.
 
Back
Top Bottom