Watoto wa P Diddy

Watoto wa P Diddy

Naona anazeeka ss, kitu ambacho namlaumu ni kutomtia mimba j.lo
Yule Bibie fala kweli alikuwa anapenda dushe za blacks ila hakutaka kuzaa na blacks asilani....

Kuna maneno alishawahi kutamka kuwa

'' Better having kids with Latin or white dude...not to a black one''

There after, akaja kuzaa na Mark Anthony wale mapacha....Max & Emme
 
Diddy ni Rais wa wakataa ndoa, Kasie alivumilia akijua ataolewa mwisho akatoka nduki.
Kale kadangaji kalikuwa kameweka mtego kaolewe halafu kazae kisha kaanze kudai child support.

50Cent anasumbuliwa sana. Marekani ukiwa na pesa usijekosea ukaoa. Wanasheria kali sana za kutetea wasimbe na mafeminists. Dawa ni kuwakalia mbali. Ndio maana jamaa wanatafuna mashoga zaidi maana hawawaletei mambo ya kutega mimba au kudai child support.

Sent from my JKM-LX1 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom