Zemanda
JF-Expert Member
- Jan 10, 2021
- 8,323
- 18,051
Mama tofauti, hao wa kike mama yao m'moja na ni mapacha.Hawa wote mama yao ni mmoja ama kila mtoto na mama yake?
Sent from my JKM-LX1 using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mama tofauti, hao wa kike mama yao m'moja na ni mapacha.Hawa wote mama yao ni mmoja ama kila mtoto na mama yake?
Yupi sasa na wewe watoto wote warefu hao, hebu elekeza vizuri.Huyo mrefu wa nyuma ni mtoto wa kufikia ambae mama yke alizaa na diddy watoto watatu
Sasa Cassie anamuachaje P. Diddy kwa mfano [emoji23][emoji23][emoji23]Hahaha...ila alivoachwa Didy hakuamini yaani Cassie aliona akuu ya Nini miyee huyooo Kwa gym trainer wake na ndoa plus mimba juu
Diddy kuwa Chawa wa BIG? Au BIG ndio alikuwa Chawa wa Diddy? Mtu anayekulipa mshahara anakuwaje chawa wako?Umkubali vip wakati kipindi hicho alikua chawa wa big
Kwa mbali umewasifia mashoga na kuwaponda wanawake kwa kuwaita wasimbe/mafeminist. Ujumbe umefikaKale kadangaji kalikuwa kameweka mtego kaolewe halafu kazae kisha kaanze kudai child support.
50Cent anasumbuliwa sana. Marekani ukiwa na pesa usijekosea ukaoa. Wanasheria kali sana za kutetea wasimbe na mafeminists. Dawa ni kuwakalia mbali. Ndio maana jamaa wanatafuna mashoga zaidi maana hawawaletei mambo ya kutega mimba au kudai child support.
Sent from my JKM-LX1 using JamiiForums mobile app
Sawa hakikaNimekupata Lokole.
Sawa hakika
Nimekupata Lokole.
Naona mama wa watoto umeshakuja kueleza yupi ni yupi
Kwani kudate mda mrefu ndo mwanamke haachi,kaachwa Pdidy. Bwana haijalishi anadate na nani,ila Cassie ndo alitoka angetaka angekuwepo Mpk leoSasa Cassie anamuachaje P. Diddy kwa mfano [emoji23][emoji23][emoji23]
Mtu kapiga mashine kwa miaka 10 halafu useme kamuacha. Wewe unajua P. Diddy anadate na nani kwa sasa?
Sent from my JKM-LX1 using JamiiForums mobile app
Zemanda kwani yule mshikaji aliyemuoa Cassie ana pesa Gani sasaa?!!afu mbona alikua nae mda ,sio Kila mdada mdangaji Demu alimpenda kweli mshikaji baasi tuKale kadangaji kalikuwa kameweka mtego kaolewe halafu kazae kisha kaanze kudai child support.
50Cent anasumbuliwa sana. Marekani ukiwa na pesa usijekosea ukaoa. Wanasheria kali sana za kutetea wasimbe na mafeminists. Dawa ni kuwakalia mbali. Ndio maana jamaa wanatafuna mashoga zaidi maana hawawaletei mambo ya kutega mimba au kudai child support.
Sent from my JKM-LX1 using JamiiForums mobile app
Umewasikia wakilalamika?
Bora umejionea mwenyeweee,Kwa mbali umewasifia mashoga na kuwaponda wanawake kwa kuwaita wasimbe/mafeminist. Ujumbe umefika
Haya wameshakumanya wenyewe......
Ajiweke tu wazi sisi hatuna tatizo nae, na aache kutuponda kwa kuhisi tunamzibia riziki.Bora umejionea mwenyeweee,
Kuna sehemu nilimshtukia na nikamchana live kabisa kua michongo yake sio, yaan anapondea Wanawake kichizi kumbe anafagilia pori lake[emoji1787]
Umejuaje?Akitokea mwamba akamfanyia binti yake aliyowafanyia wanawake aliozaa nao itamuuma sana
Diddy ni Rais wa wakataa ndoa, Kasie alivumilia akijua ataolewa mwisho akatoka nduki.
Baba mkwe wangu huyuMsanii maarufu na mwenye pesa zake ameweka post yake kuonesha watoto wake wote.View attachment 2552834
Hahaha! Ms kasie ventura habari zako JF tunazo 😅Heee....!!!! Kumbe nilidate na P. Diddy halafu hamkuniambia....!!!🙄🙄🙄
Sijapenda.
Naona alitaka kamserereko