Hapa nadhani wanaongelewa wale wakubwa, hawa wadogo wametajwa tuWatoto wenyewe hata miaka mitatu hawajafikisha wape muda
Kwani Motie si alikuwa mwanae na alipataga kashfa ya ngada!?Wako wangapi boss??
Umesahau tu mkuu, kipindi kile mzee akawaka hadi magazetini na baadhi ya watu wakapata lawama kwamba walimkuwa wanamsingizia, ila baadae alifariki.haaaaaaaa si kwel mkuu
Ile dili ya nzoa alipanga ilikua mwaka juzi....hakua mutie ni yule mdogoUmesahau tu mkuu, kipindi kile mzee akawaka hadi magazetini na baadhi ya watu wakapata lawama kwamba walimkuwa wanamsingizia, ila baadae alifariki.
Wakubwa walioko hai ni wawiliMimi watoto wa Mengi siwafahamu